Skip to main content

AZAM YAMWOMBEA NGASA RUHUSA TFF




Azam FC imeandika barua TFF leo ikiwaomba wamruhusu Ngasa kwenda Sudan baada ya mchezo for medical test with Mareikh nakala imeenda kwa simba

Msukumo uliotufanya tuandike barua hii ni kwa kutambua kuwa hii ni nafasi muhimu kwa ngasa na Taifa kwani anakwenda kucheza kwenye timu yenye uwezo na miundombinu kama barani Afrika na inayoshiriki ligi ya mabingwa Afrika karibu kila msimu kitu ambacho kitamuongezea Ngasa kiwango na kuwa na msaada kwa Taifa.

Pia tunapenda kuweka wazi Value ya Signing Fees na Mshahara ambao Ngasa atapewa na Elmereikh ambao ni $4000 (Shilingi Milioni 6 kwa mwezi kwa miaka miwili takribani 144 Milioni) na Signing Fees $ 50,000 Milioni 80 kwa hiyo Ngasa ataweka kibindoni zaidi ya shilingi milioni 230 kwa miezi 24.

Hizi ni pesa nyingi kwa mchezaji wa kitanzania kwa maendeleo ya mchezaji na Familia yake na yatawapa msukumo vijana wengi wenye kipaji kama Ngasa kufanya bidii kwenye soka na kuliletea maendeleo taifa.

Azam FC inaomba TFF imruhusu Ngasa kwenda Sudan akitokea Uganda kwenda kukamilisha vipimo vya Afya na usajili na Azam FC ipo tayari kukaa na simba na kuzungumza juu ya uhamisho huu kwa usimamizi wa TFF.

Hapa ieleweke kuwa ingawa Azam FC inajua haki zake kisheria lakini pia imeamua kupunguza msimamo wake kukubali mazungumzo kwa kuangalia zaidi athari ambazo mchezaji anaweza kupata kimaslahi na kimaendeleo ya uchezaji wake na mpira wa Tanzania kwa ujumla kutokana na mgogoro huu.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.