Skip to main content

Bodi Ya Barabara Yazinduliwa


  Baadhi ya Wageni waalikwa waliohudhuria katika hafla ya uzinduzi wa Bodi hizo Dec,17, 2012 jijini Dar es salaam , ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (hayupo pichani)

  Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiongea wakati  
akizindua  Bodi ya Mfuko wa Barabara na Bodi ya Wakala wa Barabara (TANROADS) Dec 17,12,2012 jijini dar es Salaam
 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kulia) akimpa zawadi Mjumbe wa Bodi ya mfuko wa Barabara aliemaliza muda wake kwa mujibu wa sheria za Bodi Mhandisi Omar Chambo (kushoto) ,Waziri Magufuli amemshukuru Mhandisi Omar Chambo. ambae pia  ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi pamoja na wajumbe wengine waliomaliza muda wao kwa mchango mkubwa walioutoa katika mfukona kuleta ufanisi
 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kushoto) akimpongeza Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara Dr, James Wanyancha wakati wa  hafla ya uzinduzi wa Bodi ya mfuko wa Barabara na Bodi ya Wakala wa Bararabra (TANROADS) jijini Dar es salaam , Dec, 17, 2012. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).

Comments