Skip to main content

Je Zuma atahimili mawimbi ya ANC?


Jacob Zuma na makamu wake anayetarajiwa kugombea uongozi wa chama dhidi yake, Kgalema Motlanthe
Chama tawala nchini Afrika Kusini kinajiandaa kwa mpambano wa uongozi wa chama ambao utaamua ikiwa utaendeleza kile ambacho wengi wanatafsiri kama ukosefu wa kuondokana na madhambi ya enzi ya ubaguzi wa rangi.
Au ikiwa itakuwa fursa ya kuondokana na historia ya nchi na kuipa nchi hiyo ambayo ina uchumi mkubwa zaidi barani Afrika, mustakabali mwema
Hapa kinyan'anyiro huenda kikawa kikali kwa Rais Jacob zuma. Anatarajiwa kugombea muhula mwingine kama kiongozi wa chama katika eneo la Mangaung, ambako chama cha ANC kilizinduliwa karne moja iliyopita.ANC ikiwa na wingi wa wafuasi, yeyote atayeshinda uongozi wa chama, bila shaka atashinda katika uchaguzi wa urais utakaofanyika baadaye mwaka 2014.
Mwaka 2007, rais Zuma alisaidiwa kushinda uchaguzi wa urais katika kongamano kama hili linalotarajiwa mjini Polokwane, wakati alipomshinda aliyekuwa rais Thabo Mbeki.
Tangu chama cha ANC kuanza kupokea uteuzi wa wagombea tarehe mosi Oktoba, wale wanaomuunga mkono Zuma kuongoza kwa muhula wa pili, wanaonekana kuwa wengi ikilinganishwa na wale wanaomuunga mkono naibu wa Zuma, Kgalema Motlanthe - ambaye ndiye mgombea mwingine pekee.
Mafanikio ya Rais Zuma katika muhula wake wa kwanza kama rais, yameonekana kuathirika kutokana na mauaji ya Marikana ambako wachimba migodi 34 waliokuwa wanagoma waliuawa na polisi.Ilikuwa wakati wa mgogoro kuhusu mishahara ya wachimba migodi hao katika mgodi wa lonmin. Wakosoaji wake wanasema mtindo wa uongozi wa Zuma ambao ni wa kujivuta, unachochea kudorora kwa uchumi pamoja na kukidhoofisha chama cha ANC.
Kashfa nyingine ambayo inamkuba Zuma ambaye wakati mwingine anajulikana kama Msholozi, ni madai ya kutumia vibaya mali ya umma kukarabti nyumba yake kijiji kwao Nkandla.
Mdhibiti wa mali ya umma anachunguza ikiwa idara ya serikali inafadhili ukarabati huo, wakati huu ambapo wachimba migodi wanalipwa pesa kidogo sana.
Wengi wanahofia ikiwa sifa ya rais mustaafu Nelson Mandela itasalia kudumu
Bwana zuma amekana kukiuka sheria akisema kuwa aliomba mkopo wa kufanya ukarabati huo.
Kashfa nyingine inayomzonga Zuma ni ile ya ufisadi. Kuna madai kuwa chini ya utawala wake , ufisadi umekita mizizi na kwamba familia yake inanufaika na mapendeleo kwa kupata mikataba ya kibiashara kwa sababu ya kutoka kwa familia ya uhusiano wao.

Kikulacho ki nguoni mwako.

Mwandani wake ambaye sasa ni hasimu wake wa kisiasa,bwana Mbeki alivunja kimya chake cha miaka minne alipoanza kumshambulia Zuma kwa uongozi akisema kuwa ana wasiwasi kuwa Afrika Kusini inakosa mwelekeo na kwamba wananchi wanakubali kuongozwa kwa njia isiyo faa na ambayo baadaye itasababisha mzozo mkubwa.
Bwana Mbeki alisema "kwanza sielewi ambako nchi hii inaelekea. Na sijui hatua ambazo naweza kuchukua kukabiliana na kitu ambacho kinatishia nchi hii hasa nchi kukosa mwelekeo wa uongozi"

Changamoto kubwa kwa zuma hatioki kwa upinzani bali kwa chama chake.

Bwana Motlanthe, 63, ni mwanasiasa mwenye kusifika kwa kuwa alikuwa mfungwa wa zamani wa kisiasa, lakini haonekani kama anataka sana kuwania urais. Alihudumu kama rais wa nchi hiyo kwa miezi sita baada ya aliyekuwa rais Thabo Mbeki kuondoka mamlakani.
Akilinganishwa na Zuma bwana Motlanthe hana sifa kama za Zuma, yeye ni mtu ambaye hapendi kujionyesha kwa umma sana. Ni msiri na mtulivu sana

Ameteuliwa kuwania urais na jimbo lenye utajiri mkubwa zaidi Afrika Kusini la Gauteng wakati majimbo sita kati ya tisa yanamuunga mkono bwana Zuma.

Anasema ana wakati mgumu kutafakari ikiwa atamenyana na Zuma kuwania urais.

Kgalema Motlanthe

Bwana Motlanthe anaungwa mkono na Julius Malema, ingawa amepuuza uungwaji huo akisema vijana wa ANC hawana kura nyingi katika kongamano la chama. Bwana Motlanthe hataki kutaifishwa kwa migodi ya Afrika Kusini kinyume na anavyotaka Bwana Malema.
Ikiwa atagombea urais dhidi ya Zuma, huenda akapatia chama cha ANC uhai , lakini akishindwa basi ndio itakuwa mwisho wa maisha yake katika chama cha ANC Kwa nini bwana Zuma angali anapendwa na wengi?

Mwisho wa fungate

Zuma amefanikisha vita dhidi ya maambukizi ya virusi vya HIV
Zuma anapendwa na wengi, na chini ya uongozi wake, juhudi dhidi ya virusi vya HIV zinasemekana kuzaa matunda Pia nchi yake iko chini ya muungano wa nchi zinazokuwa kwa kasi zaidi pamoja na hayo mwenyekiti mpya wa muungano wa Afrika Nkosazana Dlamini-Zuma ambaye ni mke wa zamani wa Zuma, alichaguliwa kama mwenyekiti mpya wa Muungano wa Afrika.
Wengi katika ANC wanaamini kuwa ikiwa Zuma ataongoza nchi kwa muhula mwingine, itakuwa nduio mwanzi wa mwisho wa chama cha ANC.Source http:www.bbc.co.uk

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...