Skip to main content

WBO yampokonya Floyd Mayweather mkanda


Floyd Mayweather akiwa na marafiki zake 50 Cents na Fabolous
Floyd Mayweather akiwa na marafiki zake 50 Cents na Fabolous
Bingwa wa uzito mara tano Floyd Mayweather amepokonywa mkanda wa WBO alioshinda kutoka kwa Manny Pacquaio mwezi Mei.
Mkazi huyo wa Las Vegas, Nevada, 38, alishindwa kuilipa WBO dola 200,000 ada ya kikwazo ambayo mwisho ilikuwa Julai 3.
Mayweather alimpiga Pacquaio kwa alama Mei 2, 2015
Mayweather alimpiga Pacquaio kwa alama Mei 2, 2015
Mayweather amekuwa akiwa na haki na taji hilo mpaka sasa, anasema alipanga kufanya hivyo kufuatia ushindi wake wa alama dhidi ya Pacquaio.
Mmarekani mwezie Timothy Bradley ndiye atakayeushikilia mkanda huo,
Mmarekani mwenzie Tom Bradley ndiye atakayepewa mkanda huo
Mmarekani mwenzie Timothy Bradley (kushoto) ndiye atakayepewa mkanda huo
Baada ya Mayweather kuishinda Pacquaio, alishatangaza kuwa ataachia mataji yake yote ili kuwapa mabondia wadogo nafasi ya kushinda mikanda.
“Kamati ya Dunia ya Ubingwa wa WBO inaruhusiwa bila mbadala wowote kuacha kumtambua Bw Floyd Mayweather Jr kama bingwa wa dunia wa WBO welterweight na aachie taji lake,” ilisema taarifa hiyo kwenye wboboxing.com.
Floyd Mayweather Jr

Mayweather, ambaye bado anashikilia mikanda wa WBA na WBC, amepewa hadi Julai 20 kukata rufaa ya uamuzi huo.
Anatarajiwa kupanda tena ulingoni jijini Las Vegas Septemba 12, japokuwa bado hajataja mpinzani wake.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.