Skip to main content

Kafulila :Apewa tuzo ya mwanasiasa bora mwenye maono

 


Mbunge wa Kigoma kusini kwa tiketi ya NCCR mh David Kafulila amezidi kuujengea sifa Mkoa wa Kigoma na kuwa miongoni mwa wabunge na watu maarufu kutoka mkoani Kigoma kufanya vizuri kitaifa, awali sifa za mkoa huo maarufu kwa vipaji mbalimbali ilikuwa imeanza kutoweka kutokana na wanasiasa wanaotokea mkoani humo kutuhumiwa kuwa wasaliti na kuvuruga ustawi wa upinzani nchini kwa kudhaniwa wanatumiwa na chama tawala CCM ili kuudhofisha upinzani nchini.
Mh Kafulila ameyasema hayo leo jijini Dar-es-Salaam mara tu baada ya kupokea tuzo ya mwanasiasa bora mwenye maono,(kiongozi mwenye maono) Sambamba na Kafulila kupewa tuzo hiyo na taasisi ya Dream Success Enterprises.
Wengine waliopewa tuzo hiyo ni mwanahabari nguli wa habari za uchunguzi na habari za kina Said Kubenea pamoja na mwanahabari pekee mwanamke alionesha kupambana kwa vitendo dhidi ya vita ya mauaji ya Albino nchini bi Vicky Mtetema, huku Kubenea akipewa tuzo ya uwazi na ukweli.
Tuzo hiyo aliyepokea mh Kafulila imekuwa ya pili tangu mwaka huu uanze baada ya hapo awali kupokea tuzo nyingine kutokana na kuibua kashfa kubwa ya ufisadi wa Escrow na hivyo kuendelea kuung'arisha mkoa wa Kigoma.
Katika hafla hiyo ambayo mgeni rasmi alikuwa mwanasheria wa kwanza wa serikali ya Tanganyika Jaji Mark Bomani.
Akiongea na mwandishi wa habari hii mara tu baada ya kupokea tuzo hiyo, mh Kafulila alisema tuzo hii ni zawadi kwa wana-Uvinza mkoa mzima wa Kigoma na Watanzania kwa ujumla kwa kuendelea kumsapoti, bila kusahau wabunge wenzake wa upinzani kwa ushirikiano wanaompatia katika shughuli zake mbalimbali za kisiasa.
JF

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.