Skip to main content

jibu alilotoa Van Gaal baada ya kuulizwa mahali alipo Di Maria



Katika mahojiano na waandishi wa habari baada ya mchezo dhidi ya PSG, Kocha Van Gaal (kushoto) alijibu hajui Di Maria alipo baada ya kuulizwa kwanini Di Maria hakuwepo katika kikosi chake
Katika mahojiano na waandishi wa habari baada ya mchezo dhidi ya PSG, Kocha Van Gaal (kushoto) alijibu hajui Di Maria alipo baada ya kuulizwa kwanini Di Maria hakuwepo katika kikosi chake
Wakati klabu ya Paris Saint Germain (PSG) ya Ufaransa ikizidi kusisitiza kuwa uhamisho wa mchezaji wa Manchester United Angel Di Maria kwa asilimia kubwa umekamilika, kocha wa Manchester United Louis van Gaal amezungumza kitu cha kushangaza kidogo kuhusiana na Di Maria.
Di Maria alishindwa kuripoti July 25 San Jose kujiunga na timu na kuanza mazoezi ya maandalizi ya msimu mpya Ligi Kuu… Baada ya mchezo wa International Champions Cup kati ya Man Uninted dhidi ya PSG kumalizika kwa Man United kufungwa kwa goli 2-0, Van Gaal akiwa kwenye press Conference   alijibu hafahamu nyota huyo alipo.
Licha ya kocha wa PSG  Laurent Blanc kuthibitisha kuwa mazungumzo kuhusiana na uhamisho wa Di Maria yamekaribia kufikia ukingoni ingawa Man Utd inataka pound milioni 28 ili imuachie nyota huyo.
‘Manchester United na Paris Saint Germain ni vilabu viwili vikubwa na makubaliano yanaweza kuwa magumu lakini tunakaribia kufikia muafaka’.Alisema Laurent Blanc
Di Maria alihamia Manchester United mwaka 2014 akitokea katika klabu ya Real Madrid ya Hispania kwa dau la uhamisho pound milioni 59.7 kwa mkataba wa miaka mitano kiasi ambacho kilileweka rekodi ya uhamisho Uingereza.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.