Skip to main content

VANESSA MDEE ,DIAMOND,WATAJWA AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS ZA NCHINI MAREKANI

Ni neema nyingine kwa Diamond na Vanessa Mdee baada ya kutajwa  kuwania tuzo za MTV MAMA za nchini Africa Kusini zinazotarajiwa kufanyika leo usiku huko Durban, Afrika Kusini, hivi karibuni  wasanii wametajwa tena kuwania tuzo zinazojulikana kama African Entertainment Awards (AEA) za nchini Marekani.
Kwenye tuzo hizo za  African Entertainment, Diamond Platnumz ametajwa katika vipengele  viwili ikiwa ni kipengele cha Hottest Male single of the Year na wimbo wake wa ‘Ntampata wapi’ unaoshindana na wimbo wa Aye wa Davido, Originally wa Fally Ipupa, Get Low wa DellonFrancis na Lobiwa R2bees.
Kipengele kingine anachowania Diamond ni cha Best Male Artist of the Year akishindana na Fally Ipupa, eddy Kenzo, Wizkid na Sarkodie.
Kwa upande wake Vanessa Mdee ‘Vee Money’ ametajwa katika kipengele cha  Best Female of the Year akishindana na Victoria Kimani, Yemi Alade na Bucie.
Mwisho wa kupiga kura za African Entertainment Awards ni Agosti 30 na tuzo zitatolewa kwa washindi Oktoba 31.
KUPIGA KURA INGIA HAPA =====>https://www.surveymonkey.com/s/VOTEAEA2015
WASHIRIKI WENGINE NI HAWA
BEST COLLABORATION OF THE YEAR:
1. TIMAYA FT SEAN PAUL – SHAKE YOUR BUM BUM
2. STAR BOY FT LAX AND WIZZ KIDD- CARO
3. DYNASTIE LE TIGRE FT STANLEY ENOW PRENDS SOIN D’ELLE (MR ADRENALINE)
4. SARKODIE – ADONAI FT. CASTRO
5. DJ DARCIE FEAT DANIEL NASCIMENTO, PRETOSHOW AND MAYA ZUDA
HOTTEST FEMALE SINGLE OF THE YEAR:
1. TINASHE- 2 ON
2. YEMI ALADE – JOHNNY
3. ZAHARA- LLOLIWE
4. MAYA ZUDA- KWANKWARAM
SELMOR MTUKUDZI – NGUVA YANGU
HOTTEST MALE SINGLE OF THE YEAR:
1. DAVIDO- AYE
2. FALLY IPUPA- ORIGINAL
3. DIAMOND-NTAMPATA WAPI – Tanzania**
4. DILLON FRANCIS- GET LOW
5. R2BEESE- LOBI
BEST MALE ARTIST OF THE YEAR:
1. DIAMOND PLATIMUNZ – Tanzania**
2. FALLY IPUPA
3. EDDY KENZO
4. WIZ KID
6. SARKODIE
BEST MUSIC VIDEO OF THE YEAR:
1. YEMI ALADE- JOHNNY
2. TOOFAN- GWETA
3. EDDIE KENZO- SITYA LOSS
4. STONEBWOY – PULL UP (REMIX) FT. PATORANKING
5. JOVI – ET P8 KOI (DIRECTED BY NDUKONG)
BEST HIP HOP ARTIST AND SONG:
1. TEHN DIAMOND- HAPPY
2. A.K.A- SIM DOPE
3. REMINICE- SKILASHI
4. STANLEY ENOW – HEIN PÈRE (OFFICIAL VIDEO) BY SHAMAK ALLHARAMADJI
5. JOVI – B.A.S.T.A.R.D FT. RENISS
6. FRENCH MONTANA- JULIUS CAESAR
HOTTEST GROUP:
1. MAFIKIZOLO
2. P-SQUARE
3. SAUTI SOL
4. TOOFAN
BEST FEMALE ARTIST OF THE YEAR:
1. YEMI ALADE
2. VANESSA MDEE – Tanzania**
3. VICTORIA KIMANI
4. BUCIE
BEST GOSPEL GROUP:
1. JOYOUS CELEBRATION (PERFORMANCE BY MINISTER TAKESURE)
2. SONNIE BADU
3. BONNIE DEUSCHLE AND CELEBRATION CHOIR
4. KANVEE ADAMS
BEST MALE MODEL:
1. STANIEL FERREIRA
2. DAVID AGBODJI
3. DERICK TWUM
4. JADON ANDERSON
5. ADONIS BOSSO
BEST FEMALE MODEL
1. LIYA KEBEDI
2. ALEK WEK
3. ATAUI DENG
4. OLUCHI ONWEAGBA
5. AJUMA NASENYANA
BEST COMEDIAN
1. COMRADE FATSO
2. BASKET MOUTH
3. TREVOR NOAH
4. KANSIIME ANNE
5. MICHAEL BLACKSTON
BEST NEW AND UPCOMING ARTIST:
1. STONE BWOY (PULL UP (REMIX) FT. PATORANKING
2. OFISHAL XAVIER (CHECK YOUR BALANCE)
3. OS DETROUA – BELA
4. YOK7 – BROWN SKIN GIRL
BEST PRODUCER OF THE YEAR
1. BRIAN SOKO – DRUNKEN IN LOVE
2. KILL BEATZ – LOBI
3. DJ OSKIDO
BEST ACTOR IN A FILM OR SERIES
1. TONGAYI CHIRISA – CRUSO
2. NONSO ANOZIE – GAME OF THRONES
3. ADHIR KAYLAN – RULES OF ENGAGEMENT
4. BENJAMIN OCHIENG – X FILES
BEST ACTRESS IN A FILM OR SERIES
1. DANAI GURIRA- THE WALKING DEAD
2. KANDYSE MCCLURE- HEMLOCK GROVE
3. YVONNE ORJI-FIRST GENERATION
4. SOPHIE OKONEDO- SINBAD
BEST FEMALE ACTRESS IN A MOVIE:
1. BENU MABHENA – BLOOD DIAMOND
2. LUPITA NYONG’O- 12 YEARS A SLAVE
3. YVONNE NELSON- SINGLE MARRIED AND COMPLICATED
4. CHALIEZE THERON-A MILLION WAYS TO DIE IN THE WEST
BEST MALE ACTOR IN A MOVIE:
1. DAVID OYELOWO – SELMA
2. DJIMON HOUNSOU – BLOOD DIAMOND
3. EDI GATHEGI- X-MEN FIRST CLASS
4. CHIWETELU EJIFOR-HALF OF THE YELLOW SUN
5. DAYO OKNIYI-ENDLESS LOVE
BEST FILM WITH STRONG AFRICAN PRESENCE
1. BLOOD DIAMOND
2. SELMA
3. HALF OF THE YELLOW SUN
4. 12 YEARS A SLAVE
COMMUNITY AWARD
1. IYA BEKONDO- THE IYA FOUNDATION
2. CLAUDINE MUKAMABANO- KUKI NDIHO/ WHY DO I EXIST? RWANDA ORPHANS SUPPORT PROJECT
3. SYLVIE BELLO- CAMEROON AMERICAN COUNCIL
4. KATIE MEYLER- MORE THAN ME
5. LIYA KEBEDE FOUNDATION
6. NNAMDI ASOMUGHA- ASOMUGHA FOUNATION
ENTREPRENEUR OF THE YEAR
1. FARAI GUNDAN- FARAI MEDEIA GROUP, ENTREPRENEUR MEDIA GURU
2. CHRISTIAN NGAN-MADLIN CZALIS
3. OLAMIDE OREKUNRIN-FLYING DOCTORS NIGERIA
5. RUPERT BRYANT- WEB AFRICA
MALE SPORTING PERSONALITIES
S 1. LUC RICHARD MBAH A MOUTE- NBA
2. YAYA TOURE-SOCCER
3. SAMUEL ETO-SOCCER
4. NNAMDI ASOMUGHA, NFL
5. MEHDI BENATIA-SOCCER
6. SERGE IBAKA-NBA
FEMALE SPORTING PERSONALITIES
1. REGINA GEORGE-TRACK AND FIELD
2. TALISA LANOE-SWIMMER
3. MESELECH MELKAMU-TRACK AND FIELD
4. MARSHA COX (MARSHA MARESCHIA)
5. NICOLE BANECKI-SOCCER
6. NICHOLE DENBY-TRACK AND FIELD
HUMANITARIAN AWARD
HUMANITARIAN AWARD AKON
MALE FASHION DESIGNER
1. ARMANDO CABRAL-OWN SHOE BRAND
2. STANLEY IGWILO- XTAN COUTOURE
3. MATTHEW RUGAMBA-HOUSE OF TAYO
4. LAURENCE CHAUVIN BUTHAUD- LAURENCEAIRLINE
FEMALE FASHION DESIGNER:
1. CATHERINE HENRY-HENRIOCI
2. KIBONEN NFI- KIBONEN NY
3. AUDREY NGO MBOG-UZURI COUTURE
4. FARAI SIMOYI – DESIGNER OF THE NIKKI MINAJI FASHION COLLECTION
BEST AFRICAN RESTAURANT
1. MASSAWA, ETHIOPIA & ERITREA (NYC)
2. LE SOUK, MOROCCO (NYC)
3. ABUJA, WEST AFRICAN (NJ)
4. B&B AFRICAN RESTAURANT-WEST AFRICA (NJ)
5. CASA LA FEMME-EGYPTIAN (NYC)

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.