BOB
MAKANI TUTAKUKUMBUKA KWA UJASIRI WAKO:Mwaka2010 Kwenye Uzinduzi Kampeni
Jangwani Nakumbuka Ulivyoisema Chadema Wa Waasisi Wake24.Makani Alisema
Nashangaa Ccm Wanavyolaghai Watz Chadema Chama Cha Kaskazini.Anasema
Nilipomaliza Shahada Makerere Nilienda Soma Liverpool
University.Nilirudi Tz Nikaajiriwa Kama Mwanasheria Wa Serikali Baadae
Nilikwenda Kuwa Mwangalizi Wa Hesabu BOT.Tulikuwa karibu sana na Mtei
Ambaye1989 baada ya kuungua BOT tulichunguza tukio kwakina kwa sababu
ambazo sitowaambia niliwachukia sana viongozi wa ccm.Niliona Mpango Wa
Kuwakomboa Maskini Hautafikiwa Tena Kupitia Ccm.Mtei Nae Alikerwa Na
Kitendo Hicho.Nilitaka Acha Kazi Mtei Akaniambia Tuimarishe Kwanza
Uchumi Na Shilingi Tusiiache Nchi Ktk Shida Ile.Baadae Tukaacha Kazi
Tukakutana Na Watu Wenye Mtazamo Kama Wetu Tukaanzisha Chadema Watu
Tulioanzisha Ni Edwin Mte-Arusha,Brown Ngwililupi-Iringa,Edward
Balongo-Kagera,Victor Kimasela-Manyara,Alexander Pumbuli
Simbira-Tabora,n.k Sasa Huo Ukanda Upo Wapi?
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Comments