Skip to main content

Kutoka Facebook leo

BOB MAKANI TUTAKUKUMBUKA KWA UJASIRI WAKO:Mwaka2010 Kwenye Uzinduzi Kampeni Jangwani Nakumbuka Ulivyoisema Chadema Wa Waasisi Wake24.Makani Alisema Nashangaa Ccm Wanavyolaghai Watz Chadema Chama Cha Kaskazini.Anasema Nilipomaliza Shahada Makerere Nilienda Soma Liverpool University.Nilirudi Tz Nikaajiriwa Kama Mwanasheria Wa Serikali Baadae Nilikwenda Kuwa Mwangalizi Wa Hesabu BOT.Tulikuwa karibu sana na Mtei Ambaye1989 baada ya kuungua BOT tulichunguza tukio kwakina kwa sababu ambazo sitowaambia niliwachukia sana viongozi wa ccm.Niliona Mpango Wa Kuwakomboa Maskini Hautafikiwa Tena Kupitia Ccm.Mtei Nae Alikerwa Na Kitendo Hicho.Nilitaka Acha Kazi Mtei Akaniambia Tuimarishe Kwanza Uchumi Na Shilingi Tusiiache Nchi Ktk Shida Ile.Baadae Tukaacha Kazi Tukakutana Na Watu Wenye Mtazamo Kama Wetu Tukaanzisha Chadema Watu Tulioanzisha Ni Edwin Mte-Arusha,Brown Ngwililupi-Iringa,Edward Balongo-Kagera,Victor Kimasela-Manyara,Alexander Pumbuli Simbira-Tabora,n.k Sasa Huo Ukanda Upo Wapi?

Comments