Skip to main content

Chelsea yazindua jezi ya mechi za ugenini


Diego Coasta akiwa na wenzake kuzindua jezi za ugenini za Chelsea
Diego Coasta akiwa na wenzake kuzindua jezi za ugenini za Chelsea
Chelsea wamezindua jezi mpya za ugenini kwa msimu wa Ligi Kuu 2015-16 zikiwa na wadhamini Yokohama Tyres, na zitaonekana kwenye mechi za kujiandaa na msimu dhidi ya Barcelona wiki ijayo.
Kwa sasa Chelsea wako ziarani nchini Mareakani na mabingwa hao watapambana na mabingwa wa Hispania jijini Washington Julai 28, wakati nyota wao watakapovaa jezi nyeupe zikiwa na mistari myekundu na ya bluu.
Jezi ya ugenini ya Chelsea
Jezi ya ugenini ya Chelsea
Chelsea walizindua jezi za nyumbani mapema wiki iliyopita.
Diego Oscar aliongoza tangazo la jezi hizo mpya za mechi za nyumbani
Diego Oscar aliongoza tangazo la jezi hizo mpya za mechi za nyumbani
Mhispania Diego Costa akiongoza tangazo hilo
Mhispania Diego Costa akiongoza tangazo hilo

Comments