Skip to main content

plutnumz kaandika haya

Shukran Kubwa sana Zimfikie Mwenyez Mungu kwa Tuzo hii, na pia Shukran za Dhati Ziwafikie Wadau, Media, Wasanii na Mashabiki zangu wote kwa kunipigia kura na Kuhamasisha kwa Nguvu...Niushkuru sana Uongozi wangu, Familia pamoja na Team nzima ya @wcb_wasafi hususan Madancers wangu kwani Naamini wao ndio wamenipika nikapikika hadi leo hii kuweza kuletaTunzo hii Nzito ya Mtumbwizaji Bora Africa, Nyumbani...lakini pia Shukrani za kipekee zimfikie Mama yangu kipenzi Sandra kwa Mafunzo na Malezi anayonipa kila siku juu ya Dunia....na Shukran tena za kipekee na aina yake zimfikie Roho yangu, Kipenzi Changu @zarithebosslady Kwa raha na Usingizi mwanana anipatiao na kunifanya nizidi kutunga na kuwa M'bunifu kwenye kazi..
  • OOze Duddynahisi raha mbonaa!!! mie nangoja ino collable na #NEYO.
    ka unampenda DANGOTE angusha like yako hapa nikuAdd.
    #MombasaKenya.
    Like · Reply · 199 · 3 hours ago · Edited
  • Miraji Musatuzo za bongo kumamamae zao wanafki sana Afrca mtumbwizaji bora diamond eti bongo wamempa choko m1 ivi sio amazng.. big up #mtvmama muko vzuri. #wasafiiii
    Like · Reply · 118 · 4 hours ago
  • Burhoney Wa Mpondanaamini alikiba anagundu cz wasanii wote aliyowapost insta kuwa wapigiwe kura wote wamekosa alianza na saut sol kawasababisha wenzake wamekosa tuzo akampost Chamilion naye kakosa ,kampost Bebe cool kakosa , kamtia Gundu na v.money nae kampost eti apigiwe kura wakati follower wake wenywe 300kb lol vannessa angejua angemwambia asimpost tu mana asiowapost ndio walioshinda like Diamondplatnumz
    Like · Reply · 110 · 3 hours ago · Edited
  • Marry MasaweDiamond nakupenda upo wapi uivunje bikira yangu bure mkaka wewe niaadd nikuadd kama team mond halooo  
    Like · Reply · 108 · 3 hours ago
  • Ambrose Rotichfrom NAIROBI KENYA..tuko pamoja na tunaendelea kuifurahia manyimbo zako....keep it up
    Like · Reply · 104 · 4 hours ago
  • James CelestinhoVizuri sana, yaani Africa nzima wewe ndio mtumbuizaj bora tena unatoka TANZANIA. NASIKIA RAHA KWELI, TUZO YETU HIYO.
    Like · Reply · 98 · 4 hours ago
  • Festo CurtiusOyoooooooooo! Nakuambia Mwaka Huu Tutazika Mtu Kwa Pressure, Cpati Picha Mapokezi Yako Dar Naamin Itakua Ova Yale Ya Obama. Tuletee Kwanza Hyo Alafu Uifuate Ile Ya Kwa Obama, Mwaka Huu Atalazwa Mtu ICU. Kama Team Wasafi Like Twende Sawa!
    Like · Reply · 80 · 3 hours ago
  • Rachel DangwaPomoja wangu Diamond tuna sema asante pia kwa tunzo thanks
    Like · Reply · 55 · 4 hours ago
  • Amadi SuarezEbhana eeh sina cha kukupongeza maana furaha imezidi cema me ni WCB no 1 kanda ya kusini....kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea wadanganye kwa vibagia wambie pipi nitawaletea....keep moving diamond platnumz
    Like · Reply · 50 · 4 hours ago
  • Charles John MpendeUmestaili kwa tuzo hiyo, na hapo ndipo napata ufumbuzi kuwa ktma wamempendelea kiba lkn sio ixhu kubwa sana acha achukue za apaapa bongo za mbele aguc ata kidogo ata robo afiki levo izo , wcb xhangwe kwe2!!!
    Like · Reply · 40 · 3 hours ago
  • Salvin Mizu MizuBig up vile Umeweza.... haya sasa ziko wapi zile timu makorokocho...
    Like · Reply · 37 · 4 hours ago
  • Loyce NtaleHongera sana @diamond platnumz, kwani mchuano ulikuwa mkali mno.....
    Like · Reply · 31 · 3 hours ago
  • Morisho AlainLeo mimi silali kwa furaha wasafiiiiiiii
    Like · Reply · 30 · 4 hours ago
  • Juma MohamedMtumbuizaji Bora Africa Ametoka Tz Ni Diamond, Lakn Mtumbuizaj Bora Tz Ametoka Tz Vlevle Anaitw Kba, Hapa Ndo 2nagundua Bongo Kuna Unafiki! Big Up Mond!
    Like · Reply · 29 · about an hour ago
  • Mwavita Maila MailaKweli diamond umeufanya mziki wa tz ufike mbali sana na nyota wadogo wameaza kusikika mbele saurti kwako na mungu akuongeze bidii utoe collabo na wasani wakubwa chrb neyo akon 50 lilwy nawengineo navyo kuamini huwezi ukatuangusha wa tz mungu akujali kweny mzik wako
    Like · Reply · 27 · 3 hours ago
  • Key-Gun King@diamondplatnumz
    @avrilkenya
    Yani hii picha yaonyesha jinsi sisi wakenya tupo na #Dangote kufa na kupona!

    Like · Reply · 27 · about an hour ago
  • Rose Johakimiko siku kila mtu atavaa jez yakooooo wapi walamba ndimu
    Like · Reply · 21 · 4 hours ago
  • Jovinus Rwegasira RaisWw jamaha endelea ivyo ivyo kwa kutosamini michango ya wanamedia ambao tunahalibu mitonyo mingi xana kuweza kuliqest ngoma zenu
    Like · Reply · 21 · 4 hours ago
  • Philip Mweli JnrHonqera sana #diamond kwa kazi nzuri ..nawakilisha wakazi wote wa mombasa kenya ..
    Like · Reply · 18 · 3 hours ago
  • Azizi Nsemwasaf sana dangote...umewanyamazisha kimya wanafiki wote ziliundwa had team ili kuhakikisha haushindi tuzo,,,,(kama ronaldo)
    Like · Reply · 17 · 3 hours ago
  • Mongela SemhaleNabii hakubaliki nyumbani kwao we kaza buti watafahamu tu wewe ni nani. Hongera sana.
    Like · Reply · 16 · 3 hours ago
  • Billz Rich Hommie QuanHata mimi nipo njiani. Nipe huu mwaka tu. Lazima tuwa ngazi moja. Kipaji ipo na utunzi wa hali ya juu. Collaboration nawe pia lazima. Congratulations kaka
    Like · Reply · 16 · 4 hours ago
  • Renatus Natus DeonatusLeo furaha niliyonayo nashindwa kulala. Hongera sana #Diamondplatnumz.
    Like · Reply · 13 · 4 hours ago
  • Alex Mwakyombezamani tukaenda nje tulikuwa tunajitambulisha Kuwa tumetoka Tanzanian uliko mlima kilimanjaro lkn watu walikuwa hawatuelewi wanajua ni wakenya maana wanaamini mlima kilimanjaro uko kenya lkn imekuwa rahisi kwa ajiri yako nawaambia natoka Tanzanian kwa Diamond Platnumz wanaelewa haraka sana kweli wewe sasa ni alama ya taifa lazima tujivunie maana mambo mengi tumefeli
    Like · Reply · 12 · 2 hours ago
  • Abdallah MachotaWera weraaaaaaaaaaa watakoma hao na mikorogo yao,,sisi kazi tu@wcb#team sonk.....
    Like · Reply · 10 · 4 hours ago
  • Catherine NgodokiAsante kushukuru.Tunasubiri ya BET.TUPO PAMOJA.
    Like · Reply · 10 · 3 hours ago
  • Jack AllenDaah! Nasikia raha hadi naumwa, team dangote oyeeeeeeeeeeeeeeee! Hivyo yani. Kama umelike gonga nikuad
    Like · Reply · 9 · 3 hours ago
  • Babiloon Classic Da PrezidentalyTukutane tena katika tuzo zingne Uganda na Marekani kama bado ujajua jinsi ya kuvote gonga like yako hapo ,comment number yako utaunganishwa whassap kwa maelezo zaidi
    Like · Reply · 9 · 3 hours ago
  • Boniphace GuyaHongera sana kwa kuiwakilisha vyema Tanzania
    Like · Reply · 8 · 4 hours ago
  • Burhoney Wa MpondaKama Kuna mtu anamchukia Diamond aisee namshauri ampende tu mana hakuna namna kumchukia Diamond ni kujitafutia ugonjwa wa moyo tu kumchukia mtu anayetusua duh

    Comments

    Popular posts from this blog

    Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

    By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

    MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

    Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

    HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

    MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.