Skip to main content

Chelsea yazindua jezi mpya msimu 2015-16





Chelsea wamezindua jezi mpya kwa ajili ya msimu wa 2015/16 wakiwa na wadhamini Yokohama Tyres, huku Diego Costa akionekana kiongozi wakati wa kampeni za uzinduzi huo.
Jezi za mabingwa hao zimekuja na kauli mbiu: “Kama sio blue, itakuwa blue,” kama adidas na Chelsea wakitegema wachezaji wenye malengo ya kutawala soka la Uingereza na Ulaya.
Diego Oscar aliongoza tangazo la jezi hizo mpya
Diego Oscar aliongoza tangazo la jezi hizo mpya
Mhispania Diego Costa akiongoza tangazo hilo
Mhispania Diego Costa akiongoza tangazo hilo
Costa akiwa na nyota wengine wa Chelsea
Costa akiwa na nyota wengine wa Chelsea
Mbrazil Oscar naye hakuwa nyuma
Mbrazil Oscar naye hakuwa nyuma
Costa akionekana kuwa makini
Costa akionekana kuwa makini
Oscar naye akionekana kuwa makini
Oscar naye akionekana kuwa makini
Jezi hiyo itavaliwa wakati wa ziara za kujiandaa na msimu mpya nchini Marekani, kwenye mechi dhidi ya New York Red Bulls, Barcelona na PSG, huku wakibainisha katika tukio soka la mchangani mjini Harlem Julai 21.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...