Skip to main content

Chelsea yazindua jezi mpya msimu 2015-16





Chelsea wamezindua jezi mpya kwa ajili ya msimu wa 2015/16 wakiwa na wadhamini Yokohama Tyres, huku Diego Costa akionekana kiongozi wakati wa kampeni za uzinduzi huo.
Jezi za mabingwa hao zimekuja na kauli mbiu: “Kama sio blue, itakuwa blue,” kama adidas na Chelsea wakitegema wachezaji wenye malengo ya kutawala soka la Uingereza na Ulaya.
Diego Oscar aliongoza tangazo la jezi hizo mpya
Diego Oscar aliongoza tangazo la jezi hizo mpya
Mhispania Diego Costa akiongoza tangazo hilo
Mhispania Diego Costa akiongoza tangazo hilo
Costa akiwa na nyota wengine wa Chelsea
Costa akiwa na nyota wengine wa Chelsea
Mbrazil Oscar naye hakuwa nyuma
Mbrazil Oscar naye hakuwa nyuma
Costa akionekana kuwa makini
Costa akionekana kuwa makini
Oscar naye akionekana kuwa makini
Oscar naye akionekana kuwa makini
Jezi hiyo itavaliwa wakati wa ziara za kujiandaa na msimu mpya nchini Marekani, kwenye mechi dhidi ya New York Red Bulls, Barcelona na PSG, huku wakibainisha katika tukio soka la mchangani mjini Harlem Julai 21.

Comments