Skip to main content

Mchakamchaka umeanza Arusha, wagombea Ubunge CCM wamwaga sera

unnamed (1)
Kada maarufu wa chama cha mapinduzi ambaye pia ni mfanyabiashara wa madini jijini Arusha, Justine Nyari, akizungumza katika mkutano wa hadhara wa kujinadi nafasi ya Ubunge kupitia chama cha mapinduzi katika kata mpya ya Sinoni jijini Arusha
unnamed
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju akizungumza na wananchi wa kata mpya ya Sinoni kuhusu nia yake ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi ambapo amewataka wanaccm kudumisha mshikamano kipindi hichi cha kuelekea uchaguzi ili kupatikane ushindi wa kishindo.
unnamed (2)
Emmanuel Ole Njoro ambaye ni Mgombea nafasi ya Ubunge jimbo la Arusha mjini akijinadi katika kata ya Sinoni.
unnamed (3)
Thomas Munis mgombea Ubunge akijinadi kwa wananchi wa Sinoni.
unnamed (4)
Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferooz Bano ambaye pia ni msimamizi wa uchaguzi akitoa maelekezo kwa wananchi  namna ya kuwasikiliza wagombea ambapo aliwataka wasipige makofi wala kushangilia wakati wagombea hao wakijinadi.
Kada maarufu wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni mfanyabiashara wa madini jijini Arusha, Justine Nyari, anayeomba ridhaa ya CCM katika nafasi ya ubunge ametangaza kuelekeza nguvu zake kwa vijana wasio na ajira kwa kuwawezesha kujiajiri na kujipatia kipato
Aliyasema hayo leo wakatia akizungumza katika kampeni ya kuwanadi wagomea Ubunge wa Chama cha mapinduzi CCM, mkoani Arusha katika kata mpya Sinoni , uliohudhuriwa na wagombwa 12 wa nafasi ya Ubunge
Nyari alisema kuwa changamoto kubwa inayoikabili Taifa kwa sasa ni pamoja na ukosefu wa ajira kwa vijana na kuahidi kuwa endapo atachaguliwa kuwa Mbunge wa jimbo la Arusha mjini atahakikisha vijana wanajiajiri wenyewe
Alisema kuwa katika kusaidia hilo vijana watapewa elimu ya ujasiriamali na baaade kujiajiri wenyewe hali itakayosaidia kukua kwa uchumi wa Taifa letu na vijana kuongeza kipato chao
Akawataka vijana kuacha kutumika kuleta vurugu na badala yake wawe wamoja katika kuhakikisha wanaweza kujiletea maendeleo na si vingine kwani wao wamekuwa wakitumika katika sehemu mbali mbali bila kupata manufaa stahiki
“Nawaomba vijana mujiandae kwa ajili ya kupunguza wimbi la ukosefu wa ajira kwani nimejipanga kuhakikisha mnapata elimu ya ujasiriamali ilimuweze kujiletea maendeleo na kuongeza kipato chenu na pato la taifa”alisema Nyari.
Kwa upande wake Mustapher Panju anaeomba kupewa tiketi na CCM ya nafasi ya ubunge aliwataka wagombea wenza katika kinyang’anyiro cha ubunge kupitia ccm kudumisha upendo,mshikamano,na umoja miongoni mwao vitakavyosaidia kukuza amani ndani ya chama na kuondosha makundi ambayo yamekuwa yakikiangusha chama katika chaguzi zilizopita.
Alisema kuwa changamoto za jimbo la Arusha anazijiwa hivyo wakimpa ridhaa ya kupeperusha bendera ya CCM atahakikisha umoja,mshikamano na upendo vinatawala ili wananchi waweze kujiletea maendeleo.
Panju alisema kuwa atakapopitishwa na CCM kupeperusha bendera ya chama hicho kwa nafasi ya ubunge atahakikisha kuwa anal eta maendeleo tarajiwa kwa wakati kwani yeye atakuwa mtumishi wa wananchi wote bila kujali itikadi za vyama.
Naye Emmanuel Ole Njoro ameomba kupeperusha bendera ya CCM kwa nafasi ya Ubunge ambapo alisea akipewa ridhaa atahakikisha kuwa anadumisha Amani mshikamano na umoja miongoni mwa jamii huku akiandaa mipango ya kuhakikisha vijana wanapata nafasi za kujifunza ujasiriamali ili waweze kujiletea maendeleo.
Alisema kuwa jografia ya jimbo la Arusha anaifahamu pamoja na changamoto zake hivyo anaowaomba wanachama wa CCM kuhakikisha wanampatia nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho
Kwa upande wake Thomas Munisi alisema kuwa tahakikisha changamoto zinazowakabili wakazi wa jimbo la Arusha anazipatia ufumbuzi pindi wanachama wa CCM watakapompatia ridhaa August 1
Alisema kuwa fedha za miradizinazokusanywa na halmashauri hazitachakachuliwa na zinaelekezwa katika miradi husika ilikuweza kulibadili jimbo la Arusha kwani nia na uwezo wa kuwatumikia wakazi wa jiji la Arusha anao hivyo ni wajibu kwa wagombea kuhakikisha wanakuwa wamoja,na mshikamano miongoni mwao.Chanzo http://mjengwablog.com

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...