Skip to main content

Kocha Simba Aanza kutengeneza nyota wa kuziba pengo la Okwi




Baada ya Emmanuel Okwi kutimka zake kwenda Denmark, kocha wa Simba Dylan Kerr, ameamua kufanya jambo la maana mapema kwa kugawa jukumu alililokuwa akilifanya Mganda huyo kwa mzawa Ibrahim Ajibu.
Ajibu amepewa mikoba ya Okwi ya kupiga mipira ya faulo baada ya kuonesha umahiri mkubwa wa upigaji adhabu hiyo mbele ya kikosi maalumu cha upigaji faulo kilichochaguliwa na Kerr.

Mbali na Ajibu, wachezaji wengine ambao wanashiriki zoezi hilo la upigaji faulo kwenye kambi inayoendelea visiwani Zanzibar ni Mussa Hassan ‘Mgosi’, Said Ndemla, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ na Hamis Kiiza.
Kocha Kerr alisema: “Ninaangalia ni wachezaji wapi wenye umakini wa kupima, pia wenye uwezo wa kupiga kwa nguvu na kwa maarifa.
“Hao watano ndiyo nilioanza nao, nitaendelea kuangalia wengine kwani kila mmoja anaweza kufanya kazi hiyo.”
Kocha huyo aliongeza kusema anavutiwa na Ajibu kwa uwezo wake wa kuyadanganya macho ya kipa pindi anapokuwa anapiga mpira.
Naye Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, alisema hao ni baadhi ya wachezaji walioonekana kuwa na ujanja na uwezo wa kupiga mipira ya faulo hasa ile inayotokea karibu na eneo la lango na kudai anaamini wanaweza kuwa warithi wa Okwi aliyetamba kwa mipira hiyo.
Katika zoezi hilo ambalo Kerr alitengeneza ukuta wa walinzi wanne na kipa mmoja golini, Ajibu alionekana kung’ara sambamba na Tshabalala ambaye alikuwa akipiga faulo hizo kwa umbali wa kama mita 20.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.