Skip to main content

Ebu tupia macho mtazamo wa Ngasa kwa Yanga



KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa amesema Yanga SC kwa sasa ina matatizo mawili makubwa ya kutatua haraka kabla ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kuanza.

Tatizo la kwanza ni timu kukosa namba 10 na tatizo la pili ni ubinafsi wa washambuliaji ambapo kila mtu anataka kufunga peke yake.
Ngassa aliyeondoka Yanga SC Mei mwaka huu kuhamia Free State Stars ya Afrika Kusini, amesema Yanga SC haina mchezaji wa kucheza nafasi ya namba 10 na pia wachezaji wote wa mbele wanataka kufunga.
Akizungumza na mdau wa habari hizi , Ngassa alisema kwamba Yanga SC ina wachezaji wa aina moja tu ambao wote wanaweza kucheza kama namba 9.“Yanga SC inakosa namba 10. Mchezaji wa kupenya penya pale ndani, Malimi Busungu anaweza kutumika namna hiyo, lakini mechi na Azam alicheleweshwa kuingia uwanjani,”alisema Ngassa.
Lakini pia mchezaji huyo wa zamani wa Yanga SC amesema kwamba kuna tatizo lingine katika safu ya ushambuliaji la Yanga, kila mchezaji anataka kufunga matokeo yake watu hawatengenezeani nafasi.
“Kila mtu anataka kufunga yeye, sasa hawatengenezeani nafasi. Ndiyo matokeo yake mnashambulia sana mabao hakuna. Lazima Yanga SC wabadilike,”ameongeza Ngassa.
Ngassa alikuwepo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam juzi wakati Yanga SC ikitolewa kwa penalti 5-3 na Azam FC katika Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika 90.
Na makocha Mholanzi, Hans van der Pluijm na mzalendo, Charles Boniface Mkwasa waliwaanzisha kwa pamoja Mrundi Amisi Tambwe na Mzimbabwe Donald Ngoma, huku Busungu akianzia benchi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...