Skip to main content

Nyota katika anga za uigizaji Omar Sharif aaga dunia


Muigizaji mkongwe mashuhuri Omar Sharif aaga dunia

Omar Sharif maarufu kwa uigizaji wake katika filamu mashuhuri kama vile "Lawrence of Arabia" na "Doctor Zhivago" ameaga dunia mjini Cairo

Omar Sharif muigizaji wa Misri ambaye alipata umaarufu mkubwa kutokana na mchango wake katika filamu za "Lawrence of Arabia" na "Doctor Zhivago" aliaga dunia mnamo Ijumaa akiwa na umri wa miaka 83.
Omar Sharif alikuwa akipokea matibabu kutoka hospitali moja mjini Cairo baada ya kupatikana na ugonjwa wa Alzeima.
Omar Sharif alitwaa tuzo mbili za Golden Globe na pia kuteuliwa kuwania tuzo za Oscar kutokana na mchango wake katika filamu mashuhuri ya Lawrence of Arabia ya mwaka wa 1962.
Katika mwaka wa 2003 Omar Sharif pia aliigiza katika filamu ya Kifaransa ya Monsieur Ibrahim ambapo aliigiza kama mwenye duka wa asili ya Kituruki aliyejaribu kufanya usuhuba na kijana myahudi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.