Skip to main content

Hali ya hatari imetanda katika wingu la Zanzibar

Hali ya hatari imetanda katika wingu la Zanzibar mchana huu kufuatia Wanachama wawili wa CUF (majina yao bado hayajafahamika) kupigwa risasi na watu waliofunika nyuso zao kwenye kituo cha kuandikishia wapiga kura Makunduchi.

Waathirika wamewahishwa hospitali ya Arahma kuwahi matibabu ya haraka.



Name:  1.png
Views: 0
Size:  307.0 KB

Name:  3.jpg
Views: 0
Size:  53.2 KB


=========

JESHI la Polisi Visiwani Zanzibar, limekiri kutokea kwa tukio la kushambuliwa kwa risasi watu wawili, mapema leo asubuhi katika Mkoa wa Kusini Unguja na kukanusha vikali kuwa tukio hilo halijatokea kwenye vituo vya kujiandikisha katika daftari la wapiga kura.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kusini Ugunja, Juma Khamis, akizungumza na FikraPevu.com amesema watu wawili tu ndio waliopigwa risasi na kundi la watu ambao hawajafahamika mara moja na kuwa sio ndani ya vituo au karibu na vituo vya kujiandikishaia wapiga kura.

Amewataja watu waliojeruhiwa vibaya katika tukio hilo kuwa ni pamoja Hery Makame (49), na Ramadhani Hija, wakazi wa Mkoa wa Kusini Magharibi ambapo taarifa za awali zilieleza kuwa watu hao walipigwa risasi katika eneo la Nganani Makunduchi.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa watu hao walikuwa nje ya Vituo vya kuandikishia kura. Uchunguzi wa awali wa Polisi umebaini kwamba watu waliojeruhiwa kwa risasi walikuwa wanajaribu kuwazuia watu waliotuhumiwa kujiandikisha bila kutimiza vigezo (Hawakuwa wenyeji wa eneo hilo) na ndipo zilipotokea vurugu hizo.

Majeruhi wamelazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar, na hali zao zimeelezwa kuwa sio za kuridhisha kwani hali za afya zao imepelekea hata Polisi kushindwa kuwahoji ili kuchukuliwa maelezo yao.

Mapema leo Julai 4, 2015 Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amelitaka Jeshi la Polisi kufuatilia kwa kina tukio hilo, kutokana na kwamba linaweza kusababisha wananchi kususia zoezi la uandikishaji wapiga kura.

“Polisi ni suala la Muungano, tuna Jeshi la Polisi moja na kazi yao ni kulinda usalama wa raia na mali zao. Tunalitaka Jeshi hili lihakikishe wale wote waliofeatua risasi na kujeruhi watu wamekamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria” alieleza Prof. Lipumba.

Katika mitandao mbalimbali ya kijamii nchini (Sio FikraPevu.com), imeripotiwa kuwa watu waliopigwa risasi na watu waliofunika nyuso zao ni wanachama wawili wa CUF na kwamba tukio hilo limetokea kwenye kituo cha kuandikishia wapiga kura cha Makunduchi.Inatoka http://www.jamiiforums.com

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...