Skip to main content

Hali ya hatari imetanda katika wingu la Zanzibar

Hali ya hatari imetanda katika wingu la Zanzibar mchana huu kufuatia Wanachama wawili wa CUF (majina yao bado hayajafahamika) kupigwa risasi na watu waliofunika nyuso zao kwenye kituo cha kuandikishia wapiga kura Makunduchi.

Waathirika wamewahishwa hospitali ya Arahma kuwahi matibabu ya haraka.



Name:  1.png
Views: 0
Size:  307.0 KB

Name:  3.jpg
Views: 0
Size:  53.2 KB


=========

JESHI la Polisi Visiwani Zanzibar, limekiri kutokea kwa tukio la kushambuliwa kwa risasi watu wawili, mapema leo asubuhi katika Mkoa wa Kusini Unguja na kukanusha vikali kuwa tukio hilo halijatokea kwenye vituo vya kujiandikisha katika daftari la wapiga kura.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kusini Ugunja, Juma Khamis, akizungumza na FikraPevu.com amesema watu wawili tu ndio waliopigwa risasi na kundi la watu ambao hawajafahamika mara moja na kuwa sio ndani ya vituo au karibu na vituo vya kujiandikishaia wapiga kura.

Amewataja watu waliojeruhiwa vibaya katika tukio hilo kuwa ni pamoja Hery Makame (49), na Ramadhani Hija, wakazi wa Mkoa wa Kusini Magharibi ambapo taarifa za awali zilieleza kuwa watu hao walipigwa risasi katika eneo la Nganani Makunduchi.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa watu hao walikuwa nje ya Vituo vya kuandikishia kura. Uchunguzi wa awali wa Polisi umebaini kwamba watu waliojeruhiwa kwa risasi walikuwa wanajaribu kuwazuia watu waliotuhumiwa kujiandikisha bila kutimiza vigezo (Hawakuwa wenyeji wa eneo hilo) na ndipo zilipotokea vurugu hizo.

Majeruhi wamelazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar, na hali zao zimeelezwa kuwa sio za kuridhisha kwani hali za afya zao imepelekea hata Polisi kushindwa kuwahoji ili kuchukuliwa maelezo yao.

Mapema leo Julai 4, 2015 Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amelitaka Jeshi la Polisi kufuatilia kwa kina tukio hilo, kutokana na kwamba linaweza kusababisha wananchi kususia zoezi la uandikishaji wapiga kura.

“Polisi ni suala la Muungano, tuna Jeshi la Polisi moja na kazi yao ni kulinda usalama wa raia na mali zao. Tunalitaka Jeshi hili lihakikishe wale wote waliofeatua risasi na kujeruhi watu wamekamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria” alieleza Prof. Lipumba.

Katika mitandao mbalimbali ya kijamii nchini (Sio FikraPevu.com), imeripotiwa kuwa watu waliopigwa risasi na watu waliofunika nyuso zao ni wanachama wawili wa CUF na kwamba tukio hilo limetokea kwenye kituo cha kuandikishia wapiga kura cha Makunduchi.Inatoka http://www.jamiiforums.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.