Skip to main content

Tutaanza kujifua mapema


Kikosi cha Friends Rangers
Kikosi cha Friends Rangers
Kocha Mkuu wa timu ya Daraja la Kwanza ya Friends Rangers yenye maskani yake Magomeni Kagera, Dar es Salaam, Ally Yusuf’Tigana’amesema kuwa wanajipanga vilivyo ili kuanza mazoezi ya pamoja mapema.
Tigana alisema hatua hiyo ina lengo la kujiandaa vyema, alisema kabla ya kikosi hicho kushiriki kwenye michuano ya msimu ujao ya Ligi Daraja la Kwanza(FDL).
Alisema anaamini kwa kufanya hivyo kutawasaidia wachezaji wake, alisema kujiweka fiti kabla ya kuingia kwenye michuano hiyo ambayo hatima yake huwa ni kupatikana kwa timu zitakazocheza Ligi Kuu Tanzania Bara.
“Ni  kweli kuwa mara tu baada ya kumalizika kwa ligi ya FDL, wachezaji wote wamepewa mapumziko.
“Lakini nitawasiliana haraka na viongozi ili kuangalia uwezekano wa kuanza mazoezi yetu mapema,”alisema Tigana.
Tigana alisema hivi sasa kila mchezaji anafanya mazoezi binafsi huko waliko, alisema lengo likiwa ni kuendelea kujiweka vizuri bila ya kujali kuwa ligi ya FDL imemalizika.
Kocha Tigana alisema anaamini msimu ujao atahakikisha wanafanya maandalizi mazuri, alisema hiyo ikiwa ni pamoja na kusajili vizuri na anaamini kwa kufanya hivyo kutatimiza ndoto zao za kucheza ligi kuu Tanzania Bara.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.