Skip to main content

MASTAA NA SIASA


Chande abdallah
ILIKUWA kama kitu cha ajabu baada ya mastaa wa fani mbalimbali nchini hasa wa muziki na filamu, kutangaza nia zao za kujiingiza kwenye masuala ya siasa ambapo mpaka sasa mastaa kama Profesa Jay na Afande Sele wameweka wazi nia zao huku mastaa kama Joseph Mbilinyi 'Sugu' ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini na Vicky Kamata ambaye ni Mbunge wa Viti Maalum wakiwa ni baadhi ya mastaa waliotinga bungeni tangu uchaguzi uliopita.

Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi 'Sugu'.
Bongo siyo nchi pekee ambayo suala hilo limejitokeza, bali hata kwenye nchi mbalimbali za Afrika, Ulaya na Marekani limewahi kutokea ambapo kwa nyakati tofauti mastaa wakubwa wamewahi kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali huku wengine wakishindwa na wengine kushinda nafasi za kuwakilisha wananchi katika nyadhifa mbalimbali. Wafuatao ni baadhi ya mastaa wakubwa wa majuu ambao wamewahi au wanaendelea kushiriki kwenye siasa:-

SCHWARZENNEGGER.
ARNOLD SCHWARZENNEGGER
Huyu ni staa mkubwa wa filamu za 'action' nchini Marekani ambaye anajulikana sana kwa umbo lake kubwa. Jamaa alianza kama mtunisha misuli na kuingia kwenye tasnia ya filamu ambapo alifanya vema na muvi zake kama Terminator na Predator. Arnold alianza siasa mwaka 2003 ambapo aligombea ugavana wa Jimbo la Calfornia na kushinda, alishikilia nafasi hiyo hadi mwaka 2011.
SCHWARZENNEGGER.
ARNOLD SCHWARZENNEGGER
Huyu ni staa mkubwa wa filamu za 'action' nchini Marekani ambaye anajulikana sana kwa umbo lake kubwa. Jamaa alianza kama mtunisha misuli na kuingia kwenye tasnia ya filamu ambapo alifanya vema na muvi zake kama Terminator na Predator. Arnold alianza siasa mwaka 2003 ambapo aligombea ugavana wa Jimbo la Calfornia na kushinda, alishikilia nafasi hiyo hadi mwaka 2011.
ANDRIY CHEVSHENKO.
ANDRIY CHEVSHENKO
Ni msakata kabumbu raia wa Ukraine ambaye alipata mafanikio makubwa katika historia ya soka duniani ambapo alichezea klabu kubwa duniani kama AC Milan na Chelsea. Alitangaza kustaafu mwaka 2012 baada ya kucheza soka kwa muda mrefu. Baada ya kustaafu alijiunga na Chama Cha Demokrasia cha Ukraine akigombea nafasi ya ubunge, hata hivyo alishindwa kupata nafasi hiyo kutokana na ushindani mkubwa uliojitokeza.
WYCLEF JEAN
WYCLEF JEAN
Ni staa wa muziki toka Marekani aliyehamia nchini humo akiwa na familia yake kama wakimbizi waliotokea nchini Haiti. Jamaa aliwika na ngoma zake kama 911, Two Wrongs na Hips Don't Lie aliyoshirikiana na Shakira. Jamaa alijitosa kwenye siasa mwaka 2010 akitangaza kugombea nafasi ya urais katika nchi yake ya kuzaliwa ya Haiti ambapo hata hivyo alitolewa kwenye kinyang'anyiro hicho kutokana na sababu za makazi yaani kuishi Marekani zaidi kuliko Haiti.
YOUSSOU N'DOUR.
YOUSSOU N'DOUR
Huyu ni staa mkubwa zaidi Afrika ambaye anatajwa kushika namba moja kwenye orodha ya wasanii wa muziki matajiri Afrika huku Jarida la Rollingstone likimtaja kama mwanamuziki anayejulikana sana Afrika.
Mwanamuziki huyu anayejulikana Afrika na duniani kwa kibao chake cha Dirima, alitangaza nia ya kugombea urais mwaka 2012 lakini akatolewa kwenye kinyang'anyiro hicho kutokana na saini za wadhamini wake kuwa na kasoro na pia kutokana na ushawishi wake aliteuliwa kuwa Waziri wa Utalii na Utamaduni ambapo anaendelea na nafasi hiyo hadi hivi sasa.
MANNY PACQUIAO.

Jina lake kamili ni Emmanuel Dapridran Pacquiao ni mkali wa ndondi tokea Ufilipino mwenye heshima na mafanikio makubwa duniani kwa ujumla. Pamoja na mafanikio yake alitangaza kujiingiza kwenye siasa mwaka 2007 lakini alishindwa kiti cha baraza la uwakilishi katika Jimbo la Manila na mwaka 2009 aliamua kugombea tena kupitia Jimbo la Sarangani ambapo alishinda kwa kishindo kikubwa bila pingamizi chochote ambapo pamoja na masuala ya ngumi anaendelea kushika nafasi hiyo hadi hivi sasa.CHANZO:GLOBALPUBLISHERS

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...