Skip to main content

Minziro kutibua sherehe Yanga leo?

Fred Felix Minziro
Yanga inaumana na JKT Ruvu ya Fred Felix Minziro leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, lakini ni kocha mkuu wa kikosi hicho cha wanajeshi anayeweza kutibua hesabu za mwenzake wa Yanga, Hans Pluijm kusaka ubingwa.
Minziro aliyekulia na kucheza soka Yanga kwa maisha yake yote ya miaka 13, aliinoa timu hiyo kabla ya kutimuliwa, anakutana nayo (Yanga) ikiongoza ligi ikiwa na pointi 37 na kufuatiwa na Azam yenye pointi 36 na Simba ni ya tatu ikiwa na pointi 32.
Kocha huyo alisema Yanga wasitarajie mteremko kwao na watakomaa nao leo kuhakikisha wanaondoka na pointi tatu.
"Tuko vizuri na Yanga wasitarajie mteremko kwetu, tutacheza kwa kiwango kikubwa kuhakikisha tunaibuka washindi, najua ni timu nzuri na inaongoza ligi lakini hata sisi tuko pabaya tunahitaji kujinasua na kupanda nafasi za juu ili kukwepa kushuka daraja," alisema Minziro.
Kwa upande wake, Pluijm amekiri kuwa hautakuwa mchezo rahisi kuikabili JKT Ruvu ambayo ni timu ngumu kama ilivyo ligi yenyewe.
Timu hiyo hivi inaikabili JKT Ruvu ikiwa na presha kwani inahitaji ushindi kwa hali yoyote ile kutokana na wapinzani wao, Azam kuwafuatia kwa karibu.
Pluijm aliliambia gazeti hili kuwa wamejiandaa vizuri, ingawa haitakuwa kazi rahisi kwao kupata ushindi mbele ya wanajeshi hao kwani ligi ni ngumu hivi sasa na kila timu iko katika kiwango kizuri.
Alisema amewaelekeza wachezaji wake kuichukulia kwa umakini mkubwa michezo yote iliyobaki ili waweze kushinda na kutwaa ubingwa.
"Ligi ni ngumu na kila timu imeonyesha uwezo mkubwa na ndiyo maana nasema haitakuwa kazi rahisi kushinda dhidi ya JKT Ruvu, lakini tumejiandaa, wachezaji wangu wako katika kiwango kizuri na naamini tutapata pointi zote tatu.
"Kikubwa ni kushinda kila mechi iliyo mbele yetu, hatuhitaji kupoteza chochote maana mpinzani wetu Azam anatufuatia kwa kasi hivyo lazima tupambane kuhakikisha kila mechi inakuwa kama fainali kwetu, nawaamini wachezaji wangu watafanya kazi nzuri na kuweza kupata ushindi kesho (leo)," alisema Pluijm.
Hata hivyo, Yanga itamkosa mshambuliaji wake mahiri, Amissi Tambwe mwenye kadi tatu za njano, kiungo Andrey Coutinho aliye majeruhi pamoja na Jerryson Tegete anayesumbuliwa na maumivu ya bega.
Mrisho Ngassa aliyekuwa na maumivu ya nyama za paja na kuukosa mchezo uliopita dhidi ya Mgambo Shooting amerejea kikosini na kufanya mazoezi na wenzake jana asubuhi, ingawa daktari wa timu hiyo Juma Sufiani alisema watamwangalia atakavyoamka leo ili kujua maendeleo yake na kama atacheza mchezo wa leo au la.
Hata hivyo, pia kiungo Said Juma Makapu aliyezimia uwanjani dakika za mwisho katika mchezo dhidi ya Mgambo amerejea na kufanya mazoezi na wenzake jana asubuhi.
JKT Ruvu itamkosa Zubery Napho ambaye alipata maumivu katika mazoezi wakati ikijiandaa kuikabili Ndanda wiki iliyopita.
Chanzo:Mwananchi

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...