Skip to main content

Daraja la kwanza sasa kudhaminiwa


Mkutano Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) ambao hukutanisha viongozi wa Klabu za Ligi Kuu ya Soka Bara na Ligi Daraja la Kwanza, uliofanyika Februari 28 mwaka huu, umejadili mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja kujulishwa taarifa za kupatikana kwa mdhamini wa Ligi Daraja la Kwanza msimu ujao, ambaye ni Azam Media.
Akizungumza na gazeti hili jana, Kaimu Mtendaji wa Bodi hiyo, Fatma Shibo, alisema kuwa katika mkutano huo pia wajumbe walijadili utendaji wa kazi za kila siku za bodi hiyo na mfumo wa tiketi za kieletroniki ambazo zinatumika.
Shibo alisema kuwa wajumbe wa bodi hiyo pia walizungumzia matukio ya vurugu zinazotokea kwenye viwanja ambavyo ligi hizo huchezwa na kuahidi kuyafanyia kazi maoni ya viongozi wa klabu.
“Viongozi wa klabu wamelalamikia pia mfumo wa tiketi za kieletroniki na kuweka wazi kwamba mapato yao yameshuka na kufikia asilimia 40,” alisema Shibo.
Alisema kuwa Bodi ya Ligi imelichukua hilo na kulifanyia kazi na kueleza kwamba tayari wako katika mazungumzo na kampuni inayohusika na utengezaji wa tiketi  hizo ambao ni benki ya CRDB kwa kushirikiana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Kiongozi huyo alimtaja mdhamini ambaye amepatikana kwenye Ligi Daraja la Kwanza kuwa ni Azam Media ambao pia wanaidhamini Ligi Kuu.
Katika suala la malalamiko kuhusiana na waamuzi, tayari Kamati ya Utendaji ya TFF, imeteua kamati maalum ambayo itafuatilia suala hilo na kutoa maamuzi ndani ya saa 75 baada ya mechi kuchezwa.
Shibo alisema kuwa kamati hiyo itaongozwa na Said Mohamed na Makamu wake Geofrey Nyange ‘Kaburu’ huku wajumbe ni Charles Ndagala na Steven Mguto.
Chanzo: NIPASHE

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.