Skip to main content

Daraja la kwanza sasa kudhaminiwa


Mkutano Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) ambao hukutanisha viongozi wa Klabu za Ligi Kuu ya Soka Bara na Ligi Daraja la Kwanza, uliofanyika Februari 28 mwaka huu, umejadili mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja kujulishwa taarifa za kupatikana kwa mdhamini wa Ligi Daraja la Kwanza msimu ujao, ambaye ni Azam Media.
Akizungumza na gazeti hili jana, Kaimu Mtendaji wa Bodi hiyo, Fatma Shibo, alisema kuwa katika mkutano huo pia wajumbe walijadili utendaji wa kazi za kila siku za bodi hiyo na mfumo wa tiketi za kieletroniki ambazo zinatumika.
Shibo alisema kuwa wajumbe wa bodi hiyo pia walizungumzia matukio ya vurugu zinazotokea kwenye viwanja ambavyo ligi hizo huchezwa na kuahidi kuyafanyia kazi maoni ya viongozi wa klabu.
“Viongozi wa klabu wamelalamikia pia mfumo wa tiketi za kieletroniki na kuweka wazi kwamba mapato yao yameshuka na kufikia asilimia 40,” alisema Shibo.
Alisema kuwa Bodi ya Ligi imelichukua hilo na kulifanyia kazi na kueleza kwamba tayari wako katika mazungumzo na kampuni inayohusika na utengezaji wa tiketi  hizo ambao ni benki ya CRDB kwa kushirikiana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Kiongozi huyo alimtaja mdhamini ambaye amepatikana kwenye Ligi Daraja la Kwanza kuwa ni Azam Media ambao pia wanaidhamini Ligi Kuu.
Katika suala la malalamiko kuhusiana na waamuzi, tayari Kamati ya Utendaji ya TFF, imeteua kamati maalum ambayo itafuatilia suala hilo na kutoa maamuzi ndani ya saa 75 baada ya mechi kuchezwa.
Shibo alisema kuwa kamati hiyo itaongozwa na Said Mohamed na Makamu wake Geofrey Nyange ‘Kaburu’ huku wajumbe ni Charles Ndagala na Steven Mguto.
Chanzo: NIPASHE

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...