Skip to main content

DR MTITU ATANGAZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KALENGA AMPONGEZA MBUNGE MGIMWA

                                                                      Dr  Evarito  Mtitu
Na MatukiodaimaBlog
  MVUTANO mkali  ubunge jimbo la Kalenga  baada ya  mpinzani  wa Jackson  Kiswaga   kutoka kata  ya Nzihi Msomi Dr Evaristo Mtitu   kutangaza  nia ya  kugombea  ubunge katika   jimbo la Kalenga  linaloongozwa na Godfrey Mgimwa (CCM)
Akizungumza na mtandao huu wa www.matukiodaima.co.tz Dr. Evaristo Andreas Mtitu alisema  kuwa amelazimika  kujitokeza  kuwania ubunge katika uchaguzi mkuu mwaka huu kupitia  chama  cha  Demokrasia na maendeleo (Chadema) 
Dr  Mtitu alisema  kuwa  yeye ni   mzaliwa Kidamali kata ya  Nzihi katika  halmashauri ya  wilaya ya  Iringa alizaliwa  mwaka  (1974)  na  kusoma  Shule ya msingi Nyamihuu  olevel Ulayasi secondary 1995.  Alevel Mzumbe high school morogoro 1998,
Pia  baada ya  hapo alijiunga na   Stashahada ya ualimu  Chuo cha ualimu Morogoro 2001. Shahada  ya kwanza ya Elimu,  Chuo kikuu DSM,  2006.  Shahada ya uzamili katika elimu,  Chuo Kikuu cha Charles Darwin,  Australia,  2009.  
Dr Mtitu pia  alisema amehitimu Shahada ya uzamivu (Doctor of Philosophy) katika elimu Chuo Kikuu cha VICTORIA cha Wellington,  New Zealand,   2014.
Akielezea  kazi ambazo amepata  kufanya  katika  nchi  kuwa ni pamoja na ualimu Shule za sekondari , mkufunzi vyuo vya ualimu Tandala na Klerruu huku kwa  sasa  ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania aliyebobea katika taaluma ya mitaala ya elimu na ufundishaji,
Katika  Nyanja  ya   utandawazi alisema  yeye ni mtafiti, elimu ya geography,  sera mipango na uongozi katika elimu na nadharia ya upembuzi.
Hivyo  alisema  kuwa  lengo  lake la  kutaka   ubunge  jimbo la  kalenga ni  kushirikiana na  wana Kalenga  katika  kuleta maendeleo .
Kipaumbele  chake ni  kuboresha   elimu na  huduma  za  afya ,miundo mbinu  huku akimpongeza  mbunge  wa  sasa  Bw Mgimwa  kuwa amejitahidi  kufanya  kazi  kulingana na  uwezo  wake  kwa  muda  mfupi ila bado  kuna  haja  ya  kumuunga  mkono kwa  kumsaidia  zaidi kwa  kuliunganisha  jimbo   hilo na  wahisani  wa  ndani na  nje.
Kujitokeza  kwa Dr  Mtitu  katika  kata  hiyo ya  Nzihi  kutafanya kata  moja   hiyo kuwa na wagombea wagombea   watatu  hadi  sasa  wanaotaka  ubunge  kutoka kata  hiyo . 

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.