Skip to main content

DR MTITU ATANGAZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KALENGA AMPONGEZA MBUNGE MGIMWA

                                                                      Dr  Evarito  Mtitu
Na MatukiodaimaBlog
  MVUTANO mkali  ubunge jimbo la Kalenga  baada ya  mpinzani  wa Jackson  Kiswaga   kutoka kata  ya Nzihi Msomi Dr Evaristo Mtitu   kutangaza  nia ya  kugombea  ubunge katika   jimbo la Kalenga  linaloongozwa na Godfrey Mgimwa (CCM)
Akizungumza na mtandao huu wa www.matukiodaima.co.tz Dr. Evaristo Andreas Mtitu alisema  kuwa amelazimika  kujitokeza  kuwania ubunge katika uchaguzi mkuu mwaka huu kupitia  chama  cha  Demokrasia na maendeleo (Chadema) 
Dr  Mtitu alisema  kuwa  yeye ni   mzaliwa Kidamali kata ya  Nzihi katika  halmashauri ya  wilaya ya  Iringa alizaliwa  mwaka  (1974)  na  kusoma  Shule ya msingi Nyamihuu  olevel Ulayasi secondary 1995.  Alevel Mzumbe high school morogoro 1998,
Pia  baada ya  hapo alijiunga na   Stashahada ya ualimu  Chuo cha ualimu Morogoro 2001. Shahada  ya kwanza ya Elimu,  Chuo kikuu DSM,  2006.  Shahada ya uzamili katika elimu,  Chuo Kikuu cha Charles Darwin,  Australia,  2009.  
Dr Mtitu pia  alisema amehitimu Shahada ya uzamivu (Doctor of Philosophy) katika elimu Chuo Kikuu cha VICTORIA cha Wellington,  New Zealand,   2014.
Akielezea  kazi ambazo amepata  kufanya  katika  nchi  kuwa ni pamoja na ualimu Shule za sekondari , mkufunzi vyuo vya ualimu Tandala na Klerruu huku kwa  sasa  ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania aliyebobea katika taaluma ya mitaala ya elimu na ufundishaji,
Katika  Nyanja  ya   utandawazi alisema  yeye ni mtafiti, elimu ya geography,  sera mipango na uongozi katika elimu na nadharia ya upembuzi.
Hivyo  alisema  kuwa  lengo  lake la  kutaka   ubunge  jimbo la  kalenga ni  kushirikiana na  wana Kalenga  katika  kuleta maendeleo .
Kipaumbele  chake ni  kuboresha   elimu na  huduma  za  afya ,miundo mbinu  huku akimpongeza  mbunge  wa  sasa  Bw Mgimwa  kuwa amejitahidi  kufanya  kazi  kulingana na  uwezo  wake  kwa  muda  mfupi ila bado  kuna  haja  ya  kumuunga  mkono kwa  kumsaidia  zaidi kwa  kuliunganisha  jimbo   hilo na  wahisani  wa  ndani na  nje.
Kujitokeza  kwa Dr  Mtitu  katika  kata  hiyo ya  Nzihi  kutafanya kata  moja   hiyo kuwa na wagombea wagombea   watatu  hadi  sasa  wanaotaka  ubunge  kutoka kata  hiyo . 

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...