Skip to main content

Rais Kim Jong-Un apeleka poda jeshini kama zawadi ya siku wanawake duniani




Rais Kim Jong-Un apeleka poda jeshini kama zawadi ya siku wanawake duniani
Rais Kim Jong-Un apeleka poda jeshini kama zawadi ya siku wanawake duniani
Kiongozi wa kidikteta wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un amejaribu kuonesha namna anavyojali masuala ya kijinsia kwa kuwapelekea askari wa kike poda za kujipodolea
katika kambia ya kijeshi ya ndege za mashambulizi ya anga aliyoitembelea wakati dunia ikiadhimisha kilele cha siku ya wanawake duniani.
Kiongozi huyo wa kipekee asiyetabirika alituma salamu zake za pongezi kwa wake wa askari wa kikosi cha anga katika sherehe za wanawake ulimwenguni na kusherehekea mafanikio na mchango wa wanawake popote, wakati alipokitembelea kikosi cha siri cha anga na kukagua nguvu za kituo hicho kipya.
Kwa mujibu wa taarifa za ziara yake, kiongozi huyo hakukutana ana kwa ana na mwanamke yeyote lakini aliwataka maafisa wake kukabidhi zawadi alichowapelekea askari wake ikiwemo vipodozi alivyowapelekea wanawake walioko katika jeshi hilo kama zawadi.
Kiongozi mkuu Kim alijieleza kama balozi wa nishati ya kijanai na kueleza nia ya kutumia nguvu ya upepo,sola na hata nishati kwa ujumla ili kukwamua tatizo la umeme nchini mwake ambako umeme umekuwa ukikatika katika kila uchao.
Wakati akifanya ukaguzi huo katika ziara hiyo hakusita kumsifu baba yake Kim Jong-ill,kwa kumwelezea kuwa alikuwa mwenye Imani,mzalendo,aliyepambana na ubeberu wa kielimu na maadili ya kielimu.
Kim yeye mwenyewe alisoma mjini Geneva inaaminika kuwa ana miaka 32, alipiga picha ya pamoja na marubani wake ,huku akiwataka wawe tayari wakati wowote na kuwakumbusha kauli mbiu yao ya kusubiri amri ya chama ili kutekeleza mipango yao.
Ziara hiyo pia imechukuliwa kama ziara ya mafunzo,huku vifaa mbali mbali vikigawiwa kama vyoo,vifaa vya kulia,vifaa vya jikoni,mahema ya uzalishaji mazao na zana za chumba cha kuzalishia uyoga.
Msafara wake ulielekea katika kituo hicho kwa kutumia ndege yake binafsi ya Soviet-era IIyushin Il-62.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.