Skip to main content

Rais Kim Jong-Un apeleka poda jeshini kama zawadi ya siku wanawake duniani




Rais Kim Jong-Un apeleka poda jeshini kama zawadi ya siku wanawake duniani
Rais Kim Jong-Un apeleka poda jeshini kama zawadi ya siku wanawake duniani
Kiongozi wa kidikteta wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un amejaribu kuonesha namna anavyojali masuala ya kijinsia kwa kuwapelekea askari wa kike poda za kujipodolea
katika kambia ya kijeshi ya ndege za mashambulizi ya anga aliyoitembelea wakati dunia ikiadhimisha kilele cha siku ya wanawake duniani.
Kiongozi huyo wa kipekee asiyetabirika alituma salamu zake za pongezi kwa wake wa askari wa kikosi cha anga katika sherehe za wanawake ulimwenguni na kusherehekea mafanikio na mchango wa wanawake popote, wakati alipokitembelea kikosi cha siri cha anga na kukagua nguvu za kituo hicho kipya.
Kwa mujibu wa taarifa za ziara yake, kiongozi huyo hakukutana ana kwa ana na mwanamke yeyote lakini aliwataka maafisa wake kukabidhi zawadi alichowapelekea askari wake ikiwemo vipodozi alivyowapelekea wanawake walioko katika jeshi hilo kama zawadi.
Kiongozi mkuu Kim alijieleza kama balozi wa nishati ya kijanai na kueleza nia ya kutumia nguvu ya upepo,sola na hata nishati kwa ujumla ili kukwamua tatizo la umeme nchini mwake ambako umeme umekuwa ukikatika katika kila uchao.
Wakati akifanya ukaguzi huo katika ziara hiyo hakusita kumsifu baba yake Kim Jong-ill,kwa kumwelezea kuwa alikuwa mwenye Imani,mzalendo,aliyepambana na ubeberu wa kielimu na maadili ya kielimu.
Kim yeye mwenyewe alisoma mjini Geneva inaaminika kuwa ana miaka 32, alipiga picha ya pamoja na marubani wake ,huku akiwataka wawe tayari wakati wowote na kuwakumbusha kauli mbiu yao ya kusubiri amri ya chama ili kutekeleza mipango yao.
Ziara hiyo pia imechukuliwa kama ziara ya mafunzo,huku vifaa mbali mbali vikigawiwa kama vyoo,vifaa vya kulia,vifaa vya jikoni,mahema ya uzalishaji mazao na zana za chumba cha kuzalishia uyoga.
Msafara wake ulielekea katika kituo hicho kwa kutumia ndege yake binafsi ya Soviet-era IIyushin Il-62.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...