Skip to main content

Aliyewahi kuwa Waziri Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mansour Himid Yussuf, ametangaza kujitosa katika kinyang’anyiro cha Uwakilishi katika jimbo la Kiembesamaki katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu kupitia chama cha wananchi CUF

Aliyewahi kuwa Waziri Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mansour Himid Yussuf
---
Aliyewahi kuwa Waziri Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mansour Himid Yussuf, ametangaza kujitosa katika kinyang’anyiro cha Uwakilishi katika jimbo la Kiembesamaki katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

Atachukua fomu ya kuwania jimbo hilo kupitia CUF.

Mansour ambaye alifukuzwa uanachama ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Agosti 26 mwaka huu, baadaye alitangaza kujiunga na CUF.

Akituhubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana katika Uwanja wa Bustanini, Kiembesamaki, alisema tayari amechukua fomu ya kuwania nafasi hiyo na ameirejesha.

Mwanasiasa huyo alitumia mkutano huo kuwaomba radhi kwa matendo aliyokuwa akiyaona wakitendewa Wazanzibari, yakiwamo kupigwa na kudhalilishwa na Serikali wakati wote akiwa ndani ya Serikali.

Akizungumzia safari yake ya kujiunga na CUF, Mansour alisema haikuwa rahisi kwake kwani wazee wa Kiembesamaki na wananchi waliamini amekwisha katika siasa.

“Mlilia sana, niliwaambia tulieni wakati bado…milinifariji katika safari yangu ya kujiunga CUF, pamoja na ugumu uliopo lazima niseme ukweli, mlikuwa na wasiwasi kwamba baada ya mimi kwenda jela labda sitogombea.

“Mliona nilikuwa taabani na nawapa pole wale wote waliopata misukosuko kama yangu, wazee walikuwa na wasiwasi labda sitogombea lakini sasa nasema wazi sitorudi nyuma,” alisema Mnsour.

Mansour alisema katika harakati zake za kuwania uwakilishi katika jimbo hilo ataomba kura hata katika matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwani ni yeye ndiye aliyejenga matawi hayo.

“Sitoogopa kuingia katika tawi lolote la CCM kuomba kura, yote nimejenga mwenyewe, nitakwenda humo humo, hizi ndiyo siasa za CUF za leo, CCM na CUF wote wangu,” alisema Mansour.

Mansour alisema hajuti kufukuzwa kwake CCM wala hawezi kumnunia mtu yeyote lakini akasisitiza ataendelea kuwaheshimu kwa vile ni chama chao.

Alisema mwaka 2010 yalipokuwapo mazungumzo ya maridhiano aliwaambia wananchi wa Kiembesamaki umuhimu wa maridhiano hayo katika kujenga jamii iliyotulia Zanzibar.

Alisema ingawa wawakilishi wengi walipinga ndani ya Baraza la Wawakilishi lakini hakutetereka kwa kuwa aliamini lengo la maridhiano haikuwa ni kumtengenezea Seif nafasi ya uongozi au mawaziri saba kutoka CUF.

“Maalim hana njaa, mawaziri hawana njaa, lengo ni kuleta utulivu, Maalim anaumwa na siasa hizi za ufisadi, lengo ni kuondoa chuki na kujenga historia mpya na kujenga vyombo vya Serikali vinavyowajibika kwa dola,” alisema Mansour.

Katika mkutano huo, Makamu wa Kwanza wa Rais Serikali Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Seif Sharif Hamad aliwataka viongozi wa Jeshi la Polisi Zanzibar kusoma sheria ya vyama vya siasa na kuacha kuiburuza CUF.

Seif ambaye ni Katibu Mkuu wa CUF, alilazimika kutoa ushauri huo baada ya kile kinachodaiwa na Mkuu wa Polisi Wilaya ya Mjini kuuzuia mkutano kwa sababu zisizoeleweka.

Alisema CUF haitaweza kuendelea kuvumilia uonevu unaofanywa na jeshi hilo kwa kuzuia mikutano yao kwa sababu chama hicho kina haki sawa katika serikali ya umoja wa taifa kama ilivyo CCM.

Akizungumzia hatua ya Mansour, Seif alisema Mansour ndiye mgombea sahihi wa Kiembesamaki kwa Chama cha Wananchi (CUF).















http://www.hakingowi.com

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...