Skip to main content

Aliyewahi kuwa Waziri Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mansour Himid Yussuf, ametangaza kujitosa katika kinyang’anyiro cha Uwakilishi katika jimbo la Kiembesamaki katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu kupitia chama cha wananchi CUF

Aliyewahi kuwa Waziri Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mansour Himid Yussuf
---
Aliyewahi kuwa Waziri Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mansour Himid Yussuf, ametangaza kujitosa katika kinyang’anyiro cha Uwakilishi katika jimbo la Kiembesamaki katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

Atachukua fomu ya kuwania jimbo hilo kupitia CUF.

Mansour ambaye alifukuzwa uanachama ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Agosti 26 mwaka huu, baadaye alitangaza kujiunga na CUF.

Akituhubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana katika Uwanja wa Bustanini, Kiembesamaki, alisema tayari amechukua fomu ya kuwania nafasi hiyo na ameirejesha.

Mwanasiasa huyo alitumia mkutano huo kuwaomba radhi kwa matendo aliyokuwa akiyaona wakitendewa Wazanzibari, yakiwamo kupigwa na kudhalilishwa na Serikali wakati wote akiwa ndani ya Serikali.

Akizungumzia safari yake ya kujiunga na CUF, Mansour alisema haikuwa rahisi kwake kwani wazee wa Kiembesamaki na wananchi waliamini amekwisha katika siasa.

“Mlilia sana, niliwaambia tulieni wakati bado…milinifariji katika safari yangu ya kujiunga CUF, pamoja na ugumu uliopo lazima niseme ukweli, mlikuwa na wasiwasi kwamba baada ya mimi kwenda jela labda sitogombea.

“Mliona nilikuwa taabani na nawapa pole wale wote waliopata misukosuko kama yangu, wazee walikuwa na wasiwasi labda sitogombea lakini sasa nasema wazi sitorudi nyuma,” alisema Mnsour.

Mansour alisema katika harakati zake za kuwania uwakilishi katika jimbo hilo ataomba kura hata katika matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwani ni yeye ndiye aliyejenga matawi hayo.

“Sitoogopa kuingia katika tawi lolote la CCM kuomba kura, yote nimejenga mwenyewe, nitakwenda humo humo, hizi ndiyo siasa za CUF za leo, CCM na CUF wote wangu,” alisema Mansour.

Mansour alisema hajuti kufukuzwa kwake CCM wala hawezi kumnunia mtu yeyote lakini akasisitiza ataendelea kuwaheshimu kwa vile ni chama chao.

Alisema mwaka 2010 yalipokuwapo mazungumzo ya maridhiano aliwaambia wananchi wa Kiembesamaki umuhimu wa maridhiano hayo katika kujenga jamii iliyotulia Zanzibar.

Alisema ingawa wawakilishi wengi walipinga ndani ya Baraza la Wawakilishi lakini hakutetereka kwa kuwa aliamini lengo la maridhiano haikuwa ni kumtengenezea Seif nafasi ya uongozi au mawaziri saba kutoka CUF.

“Maalim hana njaa, mawaziri hawana njaa, lengo ni kuleta utulivu, Maalim anaumwa na siasa hizi za ufisadi, lengo ni kuondoa chuki na kujenga historia mpya na kujenga vyombo vya Serikali vinavyowajibika kwa dola,” alisema Mansour.

Katika mkutano huo, Makamu wa Kwanza wa Rais Serikali Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Seif Sharif Hamad aliwataka viongozi wa Jeshi la Polisi Zanzibar kusoma sheria ya vyama vya siasa na kuacha kuiburuza CUF.

Seif ambaye ni Katibu Mkuu wa CUF, alilazimika kutoa ushauri huo baada ya kile kinachodaiwa na Mkuu wa Polisi Wilaya ya Mjini kuuzuia mkutano kwa sababu zisizoeleweka.

Alisema CUF haitaweza kuendelea kuvumilia uonevu unaofanywa na jeshi hilo kwa kuzuia mikutano yao kwa sababu chama hicho kina haki sawa katika serikali ya umoja wa taifa kama ilivyo CCM.

Akizungumzia hatua ya Mansour, Seif alisema Mansour ndiye mgombea sahihi wa Kiembesamaki kwa Chama cha Wananchi (CUF).















http://www.hakingowi.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.