Skip to main content

Fid Q azidi kupaa katika muziki wake




 fid q
Rapa Fid Q leo amepewa tuzo ya  Champion of the 2015 European year for development in Tanzania kutoka kwa umoja wa nchi za Ulaya. Tuzo hii amepewa Fid Q sababu ya  kuwa na mchango mkubwa kwa jamii kupitia mambo tofauti anayofanya.

Fid Q amewahii kuwa na kipindi cha television cha Fid Style Friday kilichotoa nafasi kwa wasanii wa hiphop  kuonyesha uwezo wao, Fid q alifungua  darasa la Ujamaa Hip Hop  lililosaidia vijana kuwa na tabia nzuri na kuachaa mambo waliyofanya awali ambayo baadae yange haribu maisha yao.
fid q 2

Comments