Skip to main content

United yazipiga bao Bayern Munich na Real Madrid


Man U imezipiga bao Bayen Munich na Real Madrid na kuwa timu yenye thamani zaidi
Man U imezipiga bao Bayern Munich na Real Madrid na kuwa timu yenye thamani zaidi
Manchester United imezipiku Bayern Munich na Real Madrid kwa kuchukua nafasi yake ya kuwa timu kubwa duniani, kuwa ya kwanza kupitisha kiasi cha dola bilioni 1.
Pamoja na msimu kuisha bila hata ya medali, United imewazidi magwiji wa Ulaya na kuwa juu kwenye The Brand Finance Football 50, kwa mujibu wa tafiti iliyoachiwa Jumatatu.
Man U imezidi Bayern Munich kwa zaidi ya dola milioni 300
Man U imezidi Bayern Munich kwa zaidi ya dola milioni 300
Mashetani wekundu kwa sasa ina thamani ya zaidi ya dola bilioni 1.2, ikiwa zaidi ya dola milioni 300 kwa Bayern Munich. Real Madrid, Manchester City na Chelsea zote zipo tano bora.
Real Madrid imeshuka mpaka nafasi ya tatu kwa kuwa na dola milioni 873
Real Madrid imeshuka mpaka nafasi ya tatu kwa kuwa na dola milioni 873
Ushindi wa Barcelona dhidi ya Juventus kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa siku ya Jumamosi uliwaongezea sola milioni 28 kwenye timu yao, lakini haikuwafanya kuwa juu ya City na Chelsea .
Timu 25 bora
Timu 25 bora
Mkurugenzi wa Brand Finance David Haigh alisema: “Mafanikio ya Manchester yamesababishwa na Ed Woodward, Cristiano Ronaldo wa upande wa soka la biashara.”
25 bora za mwisho
25 bora za mwisho

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.