Skip to main content

United yazipiga bao Bayern Munich na Real Madrid


Man U imezipiga bao Bayen Munich na Real Madrid na kuwa timu yenye thamani zaidi
Man U imezipiga bao Bayern Munich na Real Madrid na kuwa timu yenye thamani zaidi
Manchester United imezipiku Bayern Munich na Real Madrid kwa kuchukua nafasi yake ya kuwa timu kubwa duniani, kuwa ya kwanza kupitisha kiasi cha dola bilioni 1.
Pamoja na msimu kuisha bila hata ya medali, United imewazidi magwiji wa Ulaya na kuwa juu kwenye The Brand Finance Football 50, kwa mujibu wa tafiti iliyoachiwa Jumatatu.
Man U imezidi Bayern Munich kwa zaidi ya dola milioni 300
Man U imezidi Bayern Munich kwa zaidi ya dola milioni 300
Mashetani wekundu kwa sasa ina thamani ya zaidi ya dola bilioni 1.2, ikiwa zaidi ya dola milioni 300 kwa Bayern Munich. Real Madrid, Manchester City na Chelsea zote zipo tano bora.
Real Madrid imeshuka mpaka nafasi ya tatu kwa kuwa na dola milioni 873
Real Madrid imeshuka mpaka nafasi ya tatu kwa kuwa na dola milioni 873
Ushindi wa Barcelona dhidi ya Juventus kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa siku ya Jumamosi uliwaongezea sola milioni 28 kwenye timu yao, lakini haikuwafanya kuwa juu ya City na Chelsea .
Timu 25 bora
Timu 25 bora
Mkurugenzi wa Brand Finance David Haigh alisema: “Mafanikio ya Manchester yamesababishwa na Ed Woodward, Cristiano Ronaldo wa upande wa soka la biashara.”
25 bora za mwisho
25 bora za mwisho

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...