Skip to main content

United yazipiga bao Bayern Munich na Real Madrid


Man U imezipiga bao Bayen Munich na Real Madrid na kuwa timu yenye thamani zaidi
Man U imezipiga bao Bayern Munich na Real Madrid na kuwa timu yenye thamani zaidi
Manchester United imezipiku Bayern Munich na Real Madrid kwa kuchukua nafasi yake ya kuwa timu kubwa duniani, kuwa ya kwanza kupitisha kiasi cha dola bilioni 1.
Pamoja na msimu kuisha bila hata ya medali, United imewazidi magwiji wa Ulaya na kuwa juu kwenye The Brand Finance Football 50, kwa mujibu wa tafiti iliyoachiwa Jumatatu.
Man U imezidi Bayern Munich kwa zaidi ya dola milioni 300
Man U imezidi Bayern Munich kwa zaidi ya dola milioni 300
Mashetani wekundu kwa sasa ina thamani ya zaidi ya dola bilioni 1.2, ikiwa zaidi ya dola milioni 300 kwa Bayern Munich. Real Madrid, Manchester City na Chelsea zote zipo tano bora.
Real Madrid imeshuka mpaka nafasi ya tatu kwa kuwa na dola milioni 873
Real Madrid imeshuka mpaka nafasi ya tatu kwa kuwa na dola milioni 873
Ushindi wa Barcelona dhidi ya Juventus kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa siku ya Jumamosi uliwaongezea sola milioni 28 kwenye timu yao, lakini haikuwafanya kuwa juu ya City na Chelsea .
Timu 25 bora
Timu 25 bora
Mkurugenzi wa Brand Finance David Haigh alisema: “Mafanikio ya Manchester yamesababishwa na Ed Woodward, Cristiano Ronaldo wa upande wa soka la biashara.”
25 bora za mwisho
25 bora za mwisho

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...