Skip to main content

Shilole na Nuh wapanga kupata Mtoto



nuh_mziwanda
Nuh akiongea na eNewz kuwa, yeye pamoja na Shilole wanapenda sana kupata mtoto wao, ila anafahamu kuwa hiyo ni mipango ya Mungu na wakati wowote kutoka sasa ikitokea baraka hiyo watafurahi, huku akiweka mipango ya ndoa baada ya kutambulishana kwa wazazi.
Source: Eatv.

Comments