Skip to main content

Chama cha upinzani cha Nigeria All Progressive Congress APC kimeanza kukumbwa na mpasuko


Spika wa bunge la nigeria aliyechaguliwa Bukola Saraki
Spika wa bunge la nigeria aliyechaguliwa Bukola Saraki
Chama cha upinzani cha Nigeria kilichoshinda kiti cha urais nchini humo All Progressive Congress APC kimeanza kukumbwa na mpasuko wa mapema baada ya kushika hatamu za uongozi kwa muda mfupi.
Mpasuko huo ndani ya APC umejitokeza wakati wa kuwachagua viongozi wa bunge akiwemo spika wa bunge hilo.
Rais Muhamadu Buhari alikuwa amewataka wajumbe wa chama chake wamchague, Ahmed Lawan kuwa spika wa bunge la Seneti lakini wabunge walikaidi agizo hilo na kumchagua Bukola Saraki.
Chama kikuu cha upinzani PDP kimetumia vyema mpasuko ndani ya APC na kufanikiwa kunyakuwa viti kadhaa ndani ya bunge la Seneti ikiwa ni pamoja na naibu spika pamoja na mratibu wa shughuli za bunge.
Katika hatua nyingine Rais wa Nigeria Muhamadu Buhari leo anatazamiwa kuongoza mkutano wa viongozi wa kikanda kujadili juu ya namna ya kuimarisha mpango wao wa kupambana dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
Marais kutoka nchi tano za Ukanda huo watashiriki katika mkutano huo utakaofanyika katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja.
Mkutano huu wa marais kutoka Niger, Nigeria, Chad, Cameroon na Benin ulitangulizwa na ule wa Wakuu wa majeshi kutoka mataifa hayo, ambao Jumatano walikubaliana juu ya mapendekezo kadhaa kuhusu operesheni za kijeshi kuhakikisha kundi la Boko Haram linatokomezwa.
Kabla ya kuihitimisha ziara yake mjini Paris nchini Ufaransa, rais wa Benin Thomas boni Yayi, alisema kuwa ana matumaini kuwa juhudi za pamoja toka mataifa hayo zikiungwa mkono na jumuia ya kimataifa watafanikiwa kulisambaratisha kundi hilo haramu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...