Skip to main content

Chama cha upinzani cha Nigeria All Progressive Congress APC kimeanza kukumbwa na mpasuko


Spika wa bunge la nigeria aliyechaguliwa Bukola Saraki
Spika wa bunge la nigeria aliyechaguliwa Bukola Saraki
Chama cha upinzani cha Nigeria kilichoshinda kiti cha urais nchini humo All Progressive Congress APC kimeanza kukumbwa na mpasuko wa mapema baada ya kushika hatamu za uongozi kwa muda mfupi.
Mpasuko huo ndani ya APC umejitokeza wakati wa kuwachagua viongozi wa bunge akiwemo spika wa bunge hilo.
Rais Muhamadu Buhari alikuwa amewataka wajumbe wa chama chake wamchague, Ahmed Lawan kuwa spika wa bunge la Seneti lakini wabunge walikaidi agizo hilo na kumchagua Bukola Saraki.
Chama kikuu cha upinzani PDP kimetumia vyema mpasuko ndani ya APC na kufanikiwa kunyakuwa viti kadhaa ndani ya bunge la Seneti ikiwa ni pamoja na naibu spika pamoja na mratibu wa shughuli za bunge.
Katika hatua nyingine Rais wa Nigeria Muhamadu Buhari leo anatazamiwa kuongoza mkutano wa viongozi wa kikanda kujadili juu ya namna ya kuimarisha mpango wao wa kupambana dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
Marais kutoka nchi tano za Ukanda huo watashiriki katika mkutano huo utakaofanyika katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja.
Mkutano huu wa marais kutoka Niger, Nigeria, Chad, Cameroon na Benin ulitangulizwa na ule wa Wakuu wa majeshi kutoka mataifa hayo, ambao Jumatano walikubaliana juu ya mapendekezo kadhaa kuhusu operesheni za kijeshi kuhakikisha kundi la Boko Haram linatokomezwa.
Kabla ya kuihitimisha ziara yake mjini Paris nchini Ufaransa, rais wa Benin Thomas boni Yayi, alisema kuwa ana matumaini kuwa juhudi za pamoja toka mataifa hayo zikiungwa mkono na jumuia ya kimataifa watafanikiwa kulisambaratisha kundi hilo haramu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.