Skip to main content

NINATAKA URAIS WA MIAKA MITANO-SITTA



Mheshimiwa Sitta akisimikwa kuwa Mjukuu Mkuu wa ukoo wa Fundikira katika hafla iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ya Unyanyembe Itetemia mkoani Tabora jana.
Mheshimiwa Samweli Sitta akiwa na viongozi wenzake wa CCM alipokuwa akitangaza nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Comments