Skip to main content

TETESI ZA SOKA ULAYA 22.06.2015

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-xfp1/v/t1.0-1/p100x100/10445502_456781731125961_1854124702995101057_n.jpg?oh=329a0eea96eb0bac8320a078b8d3d5ef&oe=55F1FFC4&__gda__=1441395119_60279828b29203d761557fbe6b41622f
Salim Kikeke
Sergio Ramos anayesakwa na Manchester United anataka kuondoka Real Madrid baada ya klabu hiyo kushindwa kukanusha uvumi wa uhamisho wake uliotajwa na mgombea urais wa Barcelona Jordi Maji (AS), Liverpool wameongeza dau lao kufikia pauni milioni 16 kumtaka kiungo mkabaji wa Real Madrid Asier Illarramendi, 25 (Marca), Liverpool pia wanamfuatilia mshambuliaji wa Sevilla Carlos Bacca, 28, na Salomon Rondon, 25, wa Zenith St Petersburg iwapo watashindwa kumpata Christian Benteke, 24 (Liverpool Echo), meneja wa Liverpool Brandan Rodgers anataka kununua wachezaji watatu, Illarramendi, Bacca na Rondon kwa mkataba utakaofikia pauni milioni 75 (Daily Star), West Ham wanataka kumsajili Moussa Dembele, 27, kutoka Tottenham kwa pauni milioni 12. Chelsea pia wanamtaka Mbelgiji huyo (Sun), West ham wana imani kuwa kitita cha pauni milioni 14 kitaweza kusababisha uhamisho wa mshambuliaji wa Marseille Dimitri Payet, 28 (Guardian), kipa wa Chelsea Petr Cech, 33, amefikia makubaliano ya maslahi binafsi ya Arsenal, lakini timu hizo mbili bado hazijakubaliana ada ya uhamisho (Sky Sports), winga wa Tottenham, Andros Townsend huenda akachukuliwa na Sunderland (Newcastle Chronicle), Tottenham huenda wakapata hasara ya pauni milioni 15 kwa Roberto Soldado baada ya kuanza mazungumzo na Galatasaray kumuuza mshambuliaji huyo kwa pauni milioni 11 (Daily Mirror), Raheem Sterling alisafiri kwa ndege ya kukodi kutoka likizo yake Ibiza wakati Manchester City wakiongeza dau lao kufikia pauni milioni 50 (Daily Mail), mshambuliaji wa Porto Jackson Martinez, 28, anasubiri Arsenal wachukue hatua za kumsajili baada ya kukataa nafasi ya kuhamia AC Milan (Daily Express), Ronald Koeman anajiandaa kuvunja rekodi ya uhamisho ya Southampton kwa kutoa pauni milioni 15 kumsajili beki wa Atletico Madrid, Toby Alderweireld, 26. Beki huyo ana thamani ya pauni milioni 18 (Daily Mirror), kiungo wa Juventus Andrea Pirlo, 36, ataungana na Frank Lampard, New York City FC (Goal.com), bodi ya Crystal Palace iko tayari kuzuia hatua ya Alan pardew kumsajili Charlie Austin, 25, kwa sababu hawataki kulipa pauni milioni 15 (Daily Mirror), Southampton pia wanamtaka Austin, anayesakwa pia na Liverpool na Chelsea (Daily Express), baada ya kushindwa kumsajili Jackson Martinez, AC Milan bado wanataka mshambuliaji mzuri, meneja Adriano Galliani akiwa tayari kutoa euro milioni 50-55 kumsajili Edinson Cavani, na hata Zlatan Ibrahimovic (Corriere dello Sport), Chelsea wameongeza kasi na kuwapiku West Ham katika kumsajili kiungo Alex Song (Daily Express), Chelsea wanaonekana kupoteza nafasi ya kumsajili Axel Witsel, huku mchezaji huyo wa Zenith akikaribia kujiunga na AC Milan. Manchester United pia walikuwa wakimtaka mbelgiji huyo ambaye anakaribia kwenda San Siro kwa pauni milioni 21 (Gazzetta dello Sport), Manchester United wana matumaini ya kuishawishi Glatasaray kumchukua kipa Fernando Musrela. Man Utd, wapo tayari kumtoa Antonio Valencia katika mkataba huo (Fanatik), Fernabahce bado wanataka kumsajili Robin van Persie, baada ya Galatasaray kuacha kumfuatilia (Daily Mirror). Habari za uhamisho zilizothibitishwa, nitakujulisha zitakapothibitishwa. Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa. Cheers!!!
 
Salim Kikeke's photo.

 kutoka Facebook
 
 
 

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.