Skip to main content

Sitta: Niliwahi kukataa rushwa ya Sh140 milioni

Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta
Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema anasimama kifua mbele kupambana na rushwa kwa kuwa aliwahi kuikataa rushwa ya Dola 70,000 (sawa na Sh140,000) milioni).
Sitta alisema hayo jana wakati akizungumza na makada wa chama hicho waliojitokeza kumdhamini katika wilaya ya Geita mkoani Geita na kusema kuna baadhi ya watia nia wanaopita wakisema kuwa wakiwa marais watapambana na rushwa wakati ukiwatazama macho yao yanaonyesha ni wala rushwa. Viwango vya kubadili fedha za kigeni, kwa sasa Dola moja ya Marekani sawa na Sh2,000.
“Nilitumwa Canada kutafuta ndege tatu, jioni moja tukiwa Canada tunajiandaa kuondoka, akaja mkurugenzi wa masoko wa kampuni tuliyonunua ndege, akaniambia waziri tuna kautaratibu hapa ukifanikisha ndege zetu zikanunuliwa tunatoa bakshishi ya Dola 70,000 utataka hizi hela tuzipeleke benki gani,” alisema Sitta akimnukuu ofisa huyo wa masoko.
“Watazameni hawa watu... mtu kawa waziri mwaka mmoja leo anataka urais, halafu anasema atapambana na rushwa...utapambana na rushwa wapi wakati hata hujapita kwenye mitego ya rushwa. Watazameni kwa makini, mtawajua tu kwa macho, kwani macho yao yamekaa kijanjajanja kweli,” alisema. Aliendelea, “Kwa kuwa mimi nililelewa vizuri nilijua tu huo ni mtego wa shetani, nikamwambia mkurugenzi nitampa jibu kesho, nikawasiliana na wakubwa zangu kwanza wakakubali ni chukue hiyo pesa ikasomeshe marubani wa ndege.”
Sitta aliwataka wananchi hao kuwatazama kwa makini watangaza nia hao, na kuwauliza iwapo tayari walishawahi kupambanishwa na rushwa.
Lowassa aonya kuhusu viongozi wanafiki
Kigoma. Wakazi wa Kigoma wametakiwa kuwa makini na kauli za baadhi ya viongozi wa Serikali wanaojinadi kwa kusema wanawapenda Watanzania maskini, lakini mioyoni mwao hawana huruma.
Hayo yalisemwa na Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa alipokuwa akitafuta wadhamini
mkoani hapa, muda mfupi baada ya kukabidhiwa fomu zenye majina ya wanachama waliojitokeza kumdhamini.
Akiwa katika ofisi ya CCM mkoa, Katibu wa CCM Wilaya ya Kigoma Mjini, Nohoji Kubaji alimkabidhi Lowassa fomu 45 za wana CCM waliomdhamini.
“Wapo viongozi, wanajifanya wanawapenda na kuwajali watu masikini, lakini wao wenyewe unawakuta ni matajiri, hawa jamaa ni waongo sana hawa,” alisema.
Lowassa aliwataka wakazi Kigoma kumuombea ili dua na sala zao ziweze kumsaidia afikie malengo aliyojiwekea. “Nina dhamira ya kuwatumikia, lakini lazima mniombee sana dua na sala ili mambo yangu yaende vizuri hatimaye nishinde kuwa Rais wa Tanzania. Mimi nachukia sana umaskini, kwa hiyo lazima tuwe kama Malaysia ambayo kiongozi wake alipambana kuhakikisha wananchi wanaondokana na umaskini,” alisema.
Wasira awashangaa wanaotumia matarumbeta
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amesema anashangazwa na baadhi ya wagombea wenzake, wanaokwenda kutafuta wadhamini kwa matarumbeta na miziki ya kuwaita wananchi.
Wasira alitoa kauli hiyo mjini Musoma katika Ofisi ya CCM Mkoa, Adamu Ngalawa wakati alipokuwa akipokea majina na kadi za wadhamini waliojitokeza kumdhamini.
Alisema wagombea wanaofanya hivyo wanakiuka taratibu, kanuni, sheria na katiba za chama kwa kuwa chama hicho tawala kilishapitisha kuwa wakati wa kutafuta wadhamini hakuna mgomWbea kuhutubia mkutano wa hadhara.
“Kuna wagombea wanaitisha mkutano wa hadhara na kuwaita wananchi wakati hawana cha kuwahutubia kwa kuwa wamezuiliwa kufanya hivyo...wanabaki wakiwaeleza wananchi mniombee, wawaombee nini? Mimi nimeshatembea mikoa zaidi ya 20 na hakuna sehemu nimewaita wananchi tofauti na kutoa taarifa kwenye chama ili wadhamini niwapate,” alisema.
Wasira alisema mkoa wa Mara una wagombea wanne wanaowania urais, lakini hakuna atakayejitoa kwa misingi ya kuachiana kura kwa sababu hakuna mwananchi wa kawaida atakayepiga kura bali maamuzi yatafanywa na Kamati Kuu ya CCM. 
Chanzo:Mwananchi

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...