Nyota wa timu ya taifa ya Ghana na klabu ya Inter Milan Michael
Essien amesajiliwa na kilabu ya Panathinaikos ya nchini Ugiriki kwa
mkataba wa miaka miwili.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa ya Panathinaikos mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 amesaini mkataba wa miaka 2 baada ya kufikia makubaliano.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa ya Panathinaikos mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 amesaini mkataba wa miaka 2 baada ya kufikia makubaliano.
Comments