Skip to main content

Lipumba: Wanaostahili jela wanawania urais CCM


Mwenyekiti chama cha wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akilakiwa na wanachama wa chama hicho alipokuwa akiwasili katika ukumbi wa mkutano kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CUF Dar es Salaam jana. Picha na Said Khamis
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amechukua fomu ya kugombea urais kupitia chama hicho na kuahidi kupambana na rushwa huku akishangaa kuwapo watuhumiwa wa ufisadi waliotakiwa kuwa mahabusu lakini wakichukua fomu za kuwania nafasi hiyo kupitia CCM.
Profesa Lipumba alisema iwapo atapatiwa ridhaa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kupeperusha bendera ya umoja huo atahakikisha anaunda Katiba yenye maoni ya wananchi na Serikali ya Umoja wa Kitaifa ili kuwaunganisha Watanzania dhidi ya ufisadi.
Mwanasiasa huyo mkongwe katika upinzani aliwaambia wafuasi wa CUF waliomsindikiza kuchukua fomu hiyo jijini hapa jana kuwa ameamua kuwania kiti hicho kwa mara ya tano kwa kuwa kati ya viongozi wa juu wa Ukawa anaamini ana sifa, uwezo, uadilifu, uwazi, uwajibikaji wa kuwaunganisha Watanzania ili waondokane na rushwa na ufisadi uliokithiri nchini.
Profesa Lipumba aliyekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CUF Wilaya ya Kinondoni, Mohamed Mkandu saa 6.55 mchana, alitaja vipaumbele vyake kuwa ni kujenga misingi ya kuhakikisha watoto wanapata fursa sawa ya maendeleo, ajira, afya, kulinda rasilimali za umma na kupambana na ufisadi.
Profesa Lipumba aliyeanza hotuba yake ya takriban dakika 45 kwa kutoa wasifu wa usomi na kazi mbalimbali za kiuchumi alizozifanya kwa takriban miaka 40, alisema anafahamu bayana matatizo mengi ya Watanzania kwa kuwa amezaliwa na kukulia kijijini.
Alisema matatizo hayo yamesababishwa na “siasa mbovu za chama cha mapinduzi” ukiwamo ufisadi, hivyo iwapo atapatiwa ridhaa ya kuwania kiti hicho cha juu, atakuwa na kazi kubwa ya kuleta uongozi makini utakaohakikisha rasilimali za nchi zinatumika kwa maendeleo ya watu wote.
Alisema iwapo atachaguliwa kuwa rais, hatakuwa na msalie mtume na mafisadi na wote wanaohusika watawajibika kwa mujibu wa sheria na taratibu.
“Inatisha sana kuona mafisadi wakubwa, wala rushwa wakubwa badala ya kuwa ndani ya jela, wanachukua fomu za urais. Tunahitaji kwa kufuata taratibu na haki, mafisadi hao watumikie vifungo na mali zilirudishwe kwa umma walikofisadi,” alisema Profesa Lipumba huku akishangiliwa na wafuasi wa chama hicho.
Iwapo atapatiwa nafasi ya urais, alisema katika utawala wake atahakikisha watoto nchini wanapatiwa fursa sawa ya maendeleo kwa kutoa huduma bora afya, lishe na elimu.
Alisema suala la ukuaji imara kwa watoto halijapatiwa kipaumbele na kusababisha udumavu unaowanyima uwezo mkubwa wa kufikiri pindi wanapokuwa wakubwa.
Kufumua Katiba inayopendezwa
Mwanasiasa huyo alisema anachukua fomu nchi ikiwa njia panda baada ya Katiba Inayopendekezwa kuacha masuala ya msingi ya uadilifu na uwajibikaji na kusababisha wachache kujinufaisha kwa rushwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.