Skip to main content

Soma kuhusu Liverpool Kuchunguzwa chunguzwa na FFP

FFP inaichunguza Liverpool kwa kuvunja sheria ya matumizi ya fedha.
FFP inaichunguza Liverpool kwa kuvunja sheria ya matumizi ya fedha.
Liverpool ni moja ya vilabu vinavyofanyiwa uchunguzi kwa kuvunja sheria za matumizi sahihi ya fedha michezoni (Financial Fair Play (FFP).
Kwa mujibu wa sheria za Uefa, vilabu vyote vinavyoshindana barani Ulaya lazima vifikie kutumia pauni milioni 35.4 ndani ya misimu miwili.

Kuna adhabu kwa wale ambao hawafikii huko, ikiwemo Manchester City iliyopigwa faini na kuwekewa kiwango cha kutumia fedha na kiasi cha timu mwezi Mei baada ya kuvunja sheria.

Liverpool wanaamini kuwa watafutiwa mashtaka yao baada kupeleka taarifa zao za matumizi ya fedha.
Liverpool wanaamini kuwa watafutiwa mashtaka yao baada kupeleka taarifa zao za matumizi ya fedha.
Ila pamoja na kupoteza pauni milioni 49.8 kwa msimu wa 2012-13 na pauni milioni 41 kwa msimu wa 2011-12, Liverpool wanaamini kuwa watafutiwa mashtaka.
The Reds, pamoja na Monaco, Inter Milan na Roma – hakuna kati yao katika mashindano barani Ulaya msimu uliopita – wamepeleka akaunti zao kwenye bodi inayosimamia matumizi ya fedha (Club Financial Control Body (CFCB), ila wameombwa kutoa taarifa zaidi za matumizi yao ya fedha.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.