Skip to main content

Soma kuhusu Liverpool Kuchunguzwa chunguzwa na FFP

FFP inaichunguza Liverpool kwa kuvunja sheria ya matumizi ya fedha.
FFP inaichunguza Liverpool kwa kuvunja sheria ya matumizi ya fedha.
Liverpool ni moja ya vilabu vinavyofanyiwa uchunguzi kwa kuvunja sheria za matumizi sahihi ya fedha michezoni (Financial Fair Play (FFP).
Kwa mujibu wa sheria za Uefa, vilabu vyote vinavyoshindana barani Ulaya lazima vifikie kutumia pauni milioni 35.4 ndani ya misimu miwili.

Kuna adhabu kwa wale ambao hawafikii huko, ikiwemo Manchester City iliyopigwa faini na kuwekewa kiwango cha kutumia fedha na kiasi cha timu mwezi Mei baada ya kuvunja sheria.

Liverpool wanaamini kuwa watafutiwa mashtaka yao baada kupeleka taarifa zao za matumizi ya fedha.
Liverpool wanaamini kuwa watafutiwa mashtaka yao baada kupeleka taarifa zao za matumizi ya fedha.
Ila pamoja na kupoteza pauni milioni 49.8 kwa msimu wa 2012-13 na pauni milioni 41 kwa msimu wa 2011-12, Liverpool wanaamini kuwa watafutiwa mashtaka.
The Reds, pamoja na Monaco, Inter Milan na Roma – hakuna kati yao katika mashindano barani Ulaya msimu uliopita – wamepeleka akaunti zao kwenye bodi inayosimamia matumizi ya fedha (Club Financial Control Body (CFCB), ila wameombwa kutoa taarifa zaidi za matumizi yao ya fedha.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...