Skip to main content

KAVUMBANGU ADHIHIRISHA KWELI MKALI WA MABAO, AFUNGA SABA MECHI NANE AZAM FC

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI Didier Kavumbangu amedhihirisha kweli ni mkali wa mabao, baada ya kuifungia klabu yake mpya Azam FC mabao saba ndani ya mechi nane.
Kati ya mabao hayo, mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Burundi, manne amefunga katika mechi mbili tu za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kuashiria kwamba yuko tayari kutwaa kiatu cha dhahabu msimu huu.
“Nimefurahi kufanya vizuri katika mechi hizi mbili, na nitaongeza bidii nifanye vizuri zaidi, kwa sababu hiki ndicho kimenileta hapa, kufanya kazi. Nitafanya kazi. Mimi kufunga ndiyo starehe yangu ya kwanza. Ninaposhangilia bao, huwa nasikia raha sana,”alisema Kavumbangu juzi.
Didier Kavumbangu kushoto amedhihirisha kweli ni mkali wa mabao baada ya kuifungia Azam FC mabao saba katika mechi nane

Kavumbangu juzi alifunga mabao yote mawili Azam FC ikishinda 2-0 dhidi ya Ruvu Shooting ya Pwani katika Ligi Kuu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam wakati kabla ya hapo, katika mchezo wa kwanza, alifunga mabao mawili pia, mabingwa hao wa Bara wakishinda 3-0 dhidi ya Polisi Morogoro. 
Kavumbangu ametua Azam FC msimu huu akitokea Yanga SC aliyojiunga nayo mwaka 2012 kutoka Atlecito ya kwao Burundi.  
Na akiwa Yanga SC, ndani ya miaka yake miwili, Kavumbangu alifunga mabao 31 katika mechi 63, akishinda mataji mawil, ubingwa wa Ligi Kuu na Ngao ya Jamii.Sourcehttp://bongostaz.blogspot.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.