Skip to main content

Greg Dyke anataka kutimua wachezaji wasiotoka Bara la Ulaya


Mbadili michezo: Greg Dyke ana matumaini ya kupunguza wachezaji wasiotoka Ulaya kupewa vibali vya kazi vya Uingereza.
 Greg Dyke ana matumaini ya kupunguza wachezaji wasiotoka Ulaya kupewa vibali vya kazi vya Uingereza.
Shirikisho la soka limetuma mkakati wake wa kwanza unaopendekeza kupunguza idadi ya wachezaji wanaotoka nje ya Ulaya ndani ya soka la Uingereza kwa asilimia 50.
Kamati ya chama cha FA cha England mapema mwaka huu kilitaka marekebisho ya jumla yenye imani kwamba wachezaji wengi “wazembe” walinunuliwa na vilabu.
Agizo hilo la mapendekezo limetumwa kwenye Ligi Kuu, Ligi za soka, na kwa wachezaji pamoja na chama cha makocha.
Chama cha FA kina matumaini kuwa mfumo huo mpya utaanza kufanya kazi msimu wa 2015-16.
Vyama vya soka vya Wales, Scotland na Ireland Kaskazini pia viko katika mjadala na wenzao wa Uingereza.
Mpaka mwisho wa msimu uliopita, wachezaji 122 wa nje ya Ulaya waliingia kwenye soka la Uingereza.
Sheria ya sasa umeutaka mchakato wa GBE (Gvt Body Endorsement) ulioanzishwa na Wizara ya Mambo ya Ndani mwaka 2008 kuruhusu serikali kusimamia maombi ya visa kwa wachezaji wanaotoka nje ya Ulaya.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.