Skip to main content

Soma hapa inshu za Coutinho


Ukiizumngumzia Yanga ya sasa, lazima umtaje kiungo Mbrazili,  Andrey Coutinho ambaye ni moto kwenye kikosi hicho. Coutinho amewateka mashabiki wa Yanga pamoja na wa timu pinzani kutokana na juhudi zake uwanjani ambapo mpaka sasa amecheza mechi nne za kirafiki walizoshinda dhidi ya Chipukizi bao 1-0, Shangani bao1-0, KMKM mabao 2-0 na Thika United bao 1-0 zote akafanya vizuri, hajawahi kuwaudhi watu wanaofuatilia  kiwango chake uwanjani.
Mwanaspoti limemfuatilia kwa umakini Coutinho katika mechi hizo na kugundua mambo makuu matano ambayo ndiyo anayowasumbua nayo wapinzani wa timu anazokutana nazo.
Anajua kufunga
Katika kikosi cha Mbrazili Marcio Maximo, Coutinho anachezeshwa pembeni kwenye winga ya kushoto. Pamoja na kuchezeshwa nafasi hiyo ni hatari sana   ndani ya18 kutokana na uwezo wake wa kufunga mabao tena kwenye nafasi ngumu.
Anaongoza kwa idadi ya mabao kwenye kikosi cha Yanga baada ya kufunga mabao mawili sawa na Mbrazili mwenzake, Genilson Santos ‘Jaja’. Mabao hayo, moja aliwafunga Shangani na lingine  KMKM zote za Zanzibar.
Ana nguvu za miguu na anacheza sana na kimahesabu na ni fundi katika upimaji wa lango pindi anapotaka kufunga. Ni mara chache anapopata nafasi ya kupiga shuti kisha apaishe au kuutoa nje mpira.
Mipira anayopiga langoni kama haikuwa bao, basi itaokolewa na kipa au mabeki.
Anapotafuta bao, anajua akae eneo gani na kuangalia namna gani atoe  uamuzi sahihi wa kupiga. Coutinho anapokuwa kwenye timu muda wowote anaweza kubadilisha matokeo ya timu kipaji ambacho ni viungo wachache wanacho.
Kuchezesha timu
Mbrazili huyo ni mtaalamu wa kuchezesha timu. Pasi zake fupi na ndefu, zinafika vizuri kwa mtu anayemkusudia. Ikitokea bahati mbaya mahesabu yake yamekataa na kupoteza mpira, atahakikisha anautafuta kwa kukaba hadi mwisho, si yule anayekata tamaa mapema.
Anajua kujiweka katika nafasi nzuri na sasa ana uelewano mzuri na Mnyarwanda Haruna Niyonzima  ‘Fabregas’, Mrisho Ngassa na Geilson Santos Santana ‘Jaja’ na wanatengeneza kombinesheni nzuri.
Akili na ujanja
Mhimili mkubwa wa Coutinho awapo uwanjani ni akili, ubongo wake unafanya kazi na kutoa uamuzi sahihi kwa haraka mno. Anapokuwa na mpira anajua kujipangia majukumu namna atakavyoutumia na anapokuwa hana, anaelewa namna gani afanye ili mambo yaende sawa.
Ni mjanja sana jamaa na kwa taarifa, wale jamaa zangu wenye sifa za kucheza faulo za kijinga, ukimchezea Coutinho anakuumbua. Anapenya sana uwanjani na anateleza mithili ya nyoka.
Kasi na Wepesi
Kiungo huyu hana mwili mkubwa ni saizi ya kati, lakini ni mwepesi mno, anaweza kuwa mbele anashambulia baada ya sekunde chache unaweza kumwona nyuma anazuia. Ana kasi katika kupanda na kuzuia na msumbufu sana, kama beki anayecheza naye hayuko sawa, anaumbuka.
Mguu wake wa kushoto hatari
Coutinho anatumia miguu yote kucheza, lakini ule wa kushoto ni hatari. Ndiyo siraha kubwa kwake, shuti lake linalotoka kwenye mguu huo ni zito. Mabao yake mawili, ameyafunga kwa kutumia mguu huo.
-Makala kutoka Mwanaspoti.co.tz

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...