Skip to main content

Soma hapa inshu za Coutinho


Ukiizumngumzia Yanga ya sasa, lazima umtaje kiungo Mbrazili,  Andrey Coutinho ambaye ni moto kwenye kikosi hicho. Coutinho amewateka mashabiki wa Yanga pamoja na wa timu pinzani kutokana na juhudi zake uwanjani ambapo mpaka sasa amecheza mechi nne za kirafiki walizoshinda dhidi ya Chipukizi bao 1-0, Shangani bao1-0, KMKM mabao 2-0 na Thika United bao 1-0 zote akafanya vizuri, hajawahi kuwaudhi watu wanaofuatilia  kiwango chake uwanjani.
Mwanaspoti limemfuatilia kwa umakini Coutinho katika mechi hizo na kugundua mambo makuu matano ambayo ndiyo anayowasumbua nayo wapinzani wa timu anazokutana nazo.
Anajua kufunga
Katika kikosi cha Mbrazili Marcio Maximo, Coutinho anachezeshwa pembeni kwenye winga ya kushoto. Pamoja na kuchezeshwa nafasi hiyo ni hatari sana   ndani ya18 kutokana na uwezo wake wa kufunga mabao tena kwenye nafasi ngumu.
Anaongoza kwa idadi ya mabao kwenye kikosi cha Yanga baada ya kufunga mabao mawili sawa na Mbrazili mwenzake, Genilson Santos ‘Jaja’. Mabao hayo, moja aliwafunga Shangani na lingine  KMKM zote za Zanzibar.
Ana nguvu za miguu na anacheza sana na kimahesabu na ni fundi katika upimaji wa lango pindi anapotaka kufunga. Ni mara chache anapopata nafasi ya kupiga shuti kisha apaishe au kuutoa nje mpira.
Mipira anayopiga langoni kama haikuwa bao, basi itaokolewa na kipa au mabeki.
Anapotafuta bao, anajua akae eneo gani na kuangalia namna gani atoe  uamuzi sahihi wa kupiga. Coutinho anapokuwa kwenye timu muda wowote anaweza kubadilisha matokeo ya timu kipaji ambacho ni viungo wachache wanacho.
Kuchezesha timu
Mbrazili huyo ni mtaalamu wa kuchezesha timu. Pasi zake fupi na ndefu, zinafika vizuri kwa mtu anayemkusudia. Ikitokea bahati mbaya mahesabu yake yamekataa na kupoteza mpira, atahakikisha anautafuta kwa kukaba hadi mwisho, si yule anayekata tamaa mapema.
Anajua kujiweka katika nafasi nzuri na sasa ana uelewano mzuri na Mnyarwanda Haruna Niyonzima  ‘Fabregas’, Mrisho Ngassa na Geilson Santos Santana ‘Jaja’ na wanatengeneza kombinesheni nzuri.
Akili na ujanja
Mhimili mkubwa wa Coutinho awapo uwanjani ni akili, ubongo wake unafanya kazi na kutoa uamuzi sahihi kwa haraka mno. Anapokuwa na mpira anajua kujipangia majukumu namna atakavyoutumia na anapokuwa hana, anaelewa namna gani afanye ili mambo yaende sawa.
Ni mjanja sana jamaa na kwa taarifa, wale jamaa zangu wenye sifa za kucheza faulo za kijinga, ukimchezea Coutinho anakuumbua. Anapenya sana uwanjani na anateleza mithili ya nyoka.
Kasi na Wepesi
Kiungo huyu hana mwili mkubwa ni saizi ya kati, lakini ni mwepesi mno, anaweza kuwa mbele anashambulia baada ya sekunde chache unaweza kumwona nyuma anazuia. Ana kasi katika kupanda na kuzuia na msumbufu sana, kama beki anayecheza naye hayuko sawa, anaumbuka.
Mguu wake wa kushoto hatari
Coutinho anatumia miguu yote kucheza, lakini ule wa kushoto ni hatari. Ndiyo siraha kubwa kwake, shuti lake linalotoka kwenye mguu huo ni zito. Mabao yake mawili, ameyafunga kwa kutumia mguu huo.
-Makala kutoka Mwanaspoti.co.tz

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.