Skip to main content

Wasiwasi waongezeka kuhusu kujiua katika makambi ya wakimbizi nchini Kenya


Na Bosire Boniface, Garissa

Ali Hassan Ali, Msomali anayeishi katika kambi kubwa ya Dadaab huko kaskazini mashariki mwa Kenya, amesema anahuzunishwa na kujiua kulikotokea hivi karibuni kwa rafiki yake Mwethiopia na mwanakambi mwenziye wa muda mrefu.

Kijana mdogo wa Kisomali aliyechafuka vumbi usoni akisubiri pamoja na wakimbizi wengine kwenye kituo cha usajili katika kambi kubwa ya wakimbizi ya Dadaab Agosti 2011. Hali ngumu ya maisha katika makambi na msongo sugu umesababisha baadhi ya wakimbizi kujiua. [Tony Karumba/AFP]

Kila siku kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita, Ali, mwenye umri wa miaka 35, alisema yeye na rafiki yake Abdi Aden Hussein walikuwa wakienda pamoja kila siku kuangalia mbao za matangazo zinaorodhesha majina ya wakimbizi walioidhinishwa kwa upataji wa makazi mapya.

Wanaume hao wawili walikuwa na hakika kwamba siku moja maombi yao ya upataji wa makazi mapya yatafikiwa, Ali alisema, lakini maombi ya Hussein yalikataliwa kabisa.

"Tulituma maombi pamoja kwa ajili ya upataji wa makazi mapya. Huku nikisubiri kupata makazi mapya huko Marekani, Abdi hakufanikiwa," aliiambia Sabahi.

Tarehe 9 Juni, Hussein, mwenye umri wa miaka 34, alijiua katika kambi ya Ifo I ya Daadab, Ali alisema.

Mahema yamejaa katika viunga vya kambi ya wakimbizi ya Dagahaley katika kambi kubwa ya wakimbizi ya Dadaab huko Kenya Julai 2011, katikati ya ukame na njaa inayoua ambayo iliwalazimisha Wasomali wanaokadiriwa 1,300 kila siku kuomba hifadhi nchini Kenya, kwa mujibu wa shirika la wakimbizi la Umoja wa Mataifa. [Phil Moore/AFP]

Wale waliongizwa katika orodha fupi kwa usaili kwa kawaida huwa na furaha sana kwa sababu maombi yao kwa ajili ya upataji wa makazi mapya kwa hakika yanahakikishwa, Ali alisema, lakini waombaji wanaokosa hutafuta njia ya mkato kwa kuharibikiwa na kwamba wanazamisha huzuni zao kwenye madawa ya kulevya au kujiua wenyewe.

Osman Yusuf Ahmed, mkimbizi wa Kisomali mwenye umri wa miaka 39 ambaye ameishi katika kambi ya Hagadera kwa miaka 17, aliiambia Sabahi kwamba kaka yake Musa alijiua mwezi Disemba baada ya maombi yake kadhaa ya kupewa makazi mapya kutofanikiwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...