Skip to main content

Wasiwasi waongezeka kuhusu kujiua katika makambi ya wakimbizi nchini Kenya


Na Bosire Boniface, Garissa

Ali Hassan Ali, Msomali anayeishi katika kambi kubwa ya Dadaab huko kaskazini mashariki mwa Kenya, amesema anahuzunishwa na kujiua kulikotokea hivi karibuni kwa rafiki yake Mwethiopia na mwanakambi mwenziye wa muda mrefu.

Kijana mdogo wa Kisomali aliyechafuka vumbi usoni akisubiri pamoja na wakimbizi wengine kwenye kituo cha usajili katika kambi kubwa ya wakimbizi ya Dadaab Agosti 2011. Hali ngumu ya maisha katika makambi na msongo sugu umesababisha baadhi ya wakimbizi kujiua. [Tony Karumba/AFP]

Kila siku kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita, Ali, mwenye umri wa miaka 35, alisema yeye na rafiki yake Abdi Aden Hussein walikuwa wakienda pamoja kila siku kuangalia mbao za matangazo zinaorodhesha majina ya wakimbizi walioidhinishwa kwa upataji wa makazi mapya.

Wanaume hao wawili walikuwa na hakika kwamba siku moja maombi yao ya upataji wa makazi mapya yatafikiwa, Ali alisema, lakini maombi ya Hussein yalikataliwa kabisa.

"Tulituma maombi pamoja kwa ajili ya upataji wa makazi mapya. Huku nikisubiri kupata makazi mapya huko Marekani, Abdi hakufanikiwa," aliiambia Sabahi.

Tarehe 9 Juni, Hussein, mwenye umri wa miaka 34, alijiua katika kambi ya Ifo I ya Daadab, Ali alisema.

Mahema yamejaa katika viunga vya kambi ya wakimbizi ya Dagahaley katika kambi kubwa ya wakimbizi ya Dadaab huko Kenya Julai 2011, katikati ya ukame na njaa inayoua ambayo iliwalazimisha Wasomali wanaokadiriwa 1,300 kila siku kuomba hifadhi nchini Kenya, kwa mujibu wa shirika la wakimbizi la Umoja wa Mataifa. [Phil Moore/AFP]

Wale waliongizwa katika orodha fupi kwa usaili kwa kawaida huwa na furaha sana kwa sababu maombi yao kwa ajili ya upataji wa makazi mapya kwa hakika yanahakikishwa, Ali alisema, lakini waombaji wanaokosa hutafuta njia ya mkato kwa kuharibikiwa na kwamba wanazamisha huzuni zao kwenye madawa ya kulevya au kujiua wenyewe.

Osman Yusuf Ahmed, mkimbizi wa Kisomali mwenye umri wa miaka 39 ambaye ameishi katika kambi ya Hagadera kwa miaka 17, aliiambia Sabahi kwamba kaka yake Musa alijiua mwezi Disemba baada ya maombi yake kadhaa ya kupewa makazi mapya kutofanikiwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.