Skip to main content

Wasiwasi waongezeka kuhusu kujiua katika makambi ya wakimbizi nchini Kenya


Na Bosire Boniface, Garissa

Ali Hassan Ali, Msomali anayeishi katika kambi kubwa ya Dadaab huko kaskazini mashariki mwa Kenya, amesema anahuzunishwa na kujiua kulikotokea hivi karibuni kwa rafiki yake Mwethiopia na mwanakambi mwenziye wa muda mrefu.

Kijana mdogo wa Kisomali aliyechafuka vumbi usoni akisubiri pamoja na wakimbizi wengine kwenye kituo cha usajili katika kambi kubwa ya wakimbizi ya Dadaab Agosti 2011. Hali ngumu ya maisha katika makambi na msongo sugu umesababisha baadhi ya wakimbizi kujiua. [Tony Karumba/AFP]

Kila siku kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita, Ali, mwenye umri wa miaka 35, alisema yeye na rafiki yake Abdi Aden Hussein walikuwa wakienda pamoja kila siku kuangalia mbao za matangazo zinaorodhesha majina ya wakimbizi walioidhinishwa kwa upataji wa makazi mapya.

Wanaume hao wawili walikuwa na hakika kwamba siku moja maombi yao ya upataji wa makazi mapya yatafikiwa, Ali alisema, lakini maombi ya Hussein yalikataliwa kabisa.

"Tulituma maombi pamoja kwa ajili ya upataji wa makazi mapya. Huku nikisubiri kupata makazi mapya huko Marekani, Abdi hakufanikiwa," aliiambia Sabahi.

Tarehe 9 Juni, Hussein, mwenye umri wa miaka 34, alijiua katika kambi ya Ifo I ya Daadab, Ali alisema.

Mahema yamejaa katika viunga vya kambi ya wakimbizi ya Dagahaley katika kambi kubwa ya wakimbizi ya Dadaab huko Kenya Julai 2011, katikati ya ukame na njaa inayoua ambayo iliwalazimisha Wasomali wanaokadiriwa 1,300 kila siku kuomba hifadhi nchini Kenya, kwa mujibu wa shirika la wakimbizi la Umoja wa Mataifa. [Phil Moore/AFP]

Wale waliongizwa katika orodha fupi kwa usaili kwa kawaida huwa na furaha sana kwa sababu maombi yao kwa ajili ya upataji wa makazi mapya kwa hakika yanahakikishwa, Ali alisema, lakini waombaji wanaokosa hutafuta njia ya mkato kwa kuharibikiwa na kwamba wanazamisha huzuni zao kwenye madawa ya kulevya au kujiua wenyewe.

Osman Yusuf Ahmed, mkimbizi wa Kisomali mwenye umri wa miaka 39 ambaye ameishi katika kambi ya Hagadera kwa miaka 17, aliiambia Sabahi kwamba kaka yake Musa alijiua mwezi Disemba baada ya maombi yake kadhaa ya kupewa makazi mapya kutofanikiwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...