Skip to main content

Maafa ya uvutaji sigara haijulikani nchini Somali


Na Abdi Moalim, Mogadishu
Serikali ya Somalia inalazimika kufanya utafiti wa kina kuhusu athari za matumizi ya tumbaku kwani Wasomali wengi hawana uelewa kuhusu madhara ya kimwili na kiuchumi ya uvutaji, mtaalamu wa afya na maofisa wa ajira wasema.
Faisal Aadan (kushoto), mwenye umri wa miaka 29 mkaazi wa wilaya ya Weyne ya Mogadishu, alisema hajaajiriwa lakini hutafuta njia za kuweza kuhimili tabia yake ya kupata pakiti la sigara kwa siku. [Dahir Jibril/Sabahi]
Utafiti rasmi ungetoa mwanga kuhusu matatizo ya kiafya yanayohusiana na uvutaji sigara na uhusiano kati ya uvutaji na masuala ya kifedha na kijamii, alisema Adam Haji Ibrahim, daktari na mtaalamu wa afya ya jamii ambaye anafundisha Chuo Kikuu cha Benadir.
Utafiti unahitajika pia kutambua idadi ya Wasomali wanaovuta, alisema.
"Hakuna utafiti wa kutumainiwa kuhusu idadi ya watu wanaovuta sigara, matatizo yanayosababishwa na sigara kwao na hatari za jumla za kuvuta kwa umma wa Wasomali," Ibrahim aliiambia Sabahi, akiongezea kwamba kukosekana kwa serikali madhubuti inayoweza kutoa huduma za jamii za jumla kwa raia wao kwa kipindi cha miaka 22 ndicho cha kulaumu.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, ambalo linahamasisha siku ya Dunia isiyo na matumizi ya Tumbaku tarehe 31 Mei, takribani watu milioni sita hufa kila mwaka kutokana ma matumizi ya tumbaku na zaidi ya watu 600,000 hufa kutokana na kuvuta moshi wa mtu anayevuta.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.