Skip to main content

Akina Warioba kibaruani tena


WAJUMBE wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kutoka Tanzania Bara, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba, ndiyo wanaotarajiwa kuandika Katiba ya Tanganyika (Tanzania Bara), vyanzo kadhaa vya habari vya Raia Mwema vinaeleza.
Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania

Kwa mujibu wa vyanzo vyetu ya habari, tayari maandalizi ya muswada wa marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba yamefikia hatua ya kuridhisha na wakati wowote, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema atawasilisha bungeni muswada huo.
Ingawa vyanzo hivyo vya habari vinathibitisha kuwapo kwa maandalizi hayo, lakini AG Werema hakuweza kupatikana hadi tunakwenda mitamboni, simu yake ikiita bila kujibiwa.
Tayari Jaji Warioba ambaye ndiye Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, akihojiwa kupitia kipindi cha televisheni cha Dakika 45 kinachorushwa na kituo cha televisheni cha ITV, amesema hakuna haja ya kukusanya upya maoni ya wananchi wa Tanzania Bara kwa kuwa yamekwishakusanywa na Tume yake na kwamba watakaopewa jukumu la kuandika Katiba ya Tanzania Bara, wanaweza kutumia maoni yaliyokwishakusanywa.
Lakini wakati hayo yakiendelea, taarifa za uhakika kutoka vyanzo vyetu vya habari ndani ya Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CC-CCM) zinabainisha kwamba kikao hicho kilichoitishwa Jumatatu wiki hii mjini Dodoma na kuongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete, kimesikiliza hoja nzito zikiwamo za kuhoji ni wapi Tume ya Warioba imepata maoni ya kuwapo kwa serikali tatu.
Mjumbe mmoja wa kikao hicho kutoka Zanzibar anaelezea kuchachamaa kwa wajumbe wa kikao hicho kutoka Zanzibar, wakisema maoni ya Katiba kuhusu Muungano kutoka visiwani humo yalikuwa ya aina mbili tu na si tatu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...