Skip to main content

Akina Warioba kibaruani tena


WAJUMBE wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kutoka Tanzania Bara, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba, ndiyo wanaotarajiwa kuandika Katiba ya Tanganyika (Tanzania Bara), vyanzo kadhaa vya habari vya Raia Mwema vinaeleza.
Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania

Kwa mujibu wa vyanzo vyetu ya habari, tayari maandalizi ya muswada wa marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba yamefikia hatua ya kuridhisha na wakati wowote, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema atawasilisha bungeni muswada huo.
Ingawa vyanzo hivyo vya habari vinathibitisha kuwapo kwa maandalizi hayo, lakini AG Werema hakuweza kupatikana hadi tunakwenda mitamboni, simu yake ikiita bila kujibiwa.
Tayari Jaji Warioba ambaye ndiye Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, akihojiwa kupitia kipindi cha televisheni cha Dakika 45 kinachorushwa na kituo cha televisheni cha ITV, amesema hakuna haja ya kukusanya upya maoni ya wananchi wa Tanzania Bara kwa kuwa yamekwishakusanywa na Tume yake na kwamba watakaopewa jukumu la kuandika Katiba ya Tanzania Bara, wanaweza kutumia maoni yaliyokwishakusanywa.
Lakini wakati hayo yakiendelea, taarifa za uhakika kutoka vyanzo vyetu vya habari ndani ya Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CC-CCM) zinabainisha kwamba kikao hicho kilichoitishwa Jumatatu wiki hii mjini Dodoma na kuongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete, kimesikiliza hoja nzito zikiwamo za kuhoji ni wapi Tume ya Warioba imepata maoni ya kuwapo kwa serikali tatu.
Mjumbe mmoja wa kikao hicho kutoka Zanzibar anaelezea kuchachamaa kwa wajumbe wa kikao hicho kutoka Zanzibar, wakisema maoni ya Katiba kuhusu Muungano kutoka visiwani humo yalikuwa ya aina mbili tu na si tatu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.