Skip to main content

Obama na familia yake kuzuru kisiwa cha Goree nchini Senegal

Na Ali Bilali
Rais Barack Obama wa Marekani anataraji kuipongeza demokrasia iliokita mizizi nchini Senegal katika duru ya kwanza ya safari yake barani Afrika ambapo anataraji kutembelea jumba lililotumiwa wakati wa biashara ya watumwa iliopo kwenye kisiwa cha Goree, ikiwa ni ziara yenye mfano wa rais wa kwanza mweusi wa Marekani katika kisiswa hicho.
Rais wa Marekani Barack Obama na Macky Sall wa Senegal
derniereminute.sn
Ziara hii ya Obama, barani Afrika itatamatika Julai 3, baada ya kutembelea nchini Afrika Kusini na Tanzania, hata hivyo, ratiba ya ziara hii inaweza kupanguliwa iwapo kutatokea taarifa ya kifo cha rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela ambaye hali yake imearifiwa kuwa mbaya zaidi katika saa 48 zilizopita.
Rais Obama amewasili jana Jumatano jijini Dakar akiambatana na mkewe Michelle pamoja na wanaye Sasha na Malia atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake Macky Sall alhamisi hii na baadae kuendesha mkutano wa pamoja na vyombo vya habari.
Wananchi wa Senegal wamejitokeza kwa wingi kumpokea rais Obama na familia yake ambapo kwenye barabara inayokwenda Ikulu ya rais nyimbo vificho na nderemo ndivyo vina sikika.
Baada ya mkutano na vyombo vya habari raid Obama atakwenda kukutana na jaji wa mahakama kuu nchini humo ambako atahutubia kuhusu utawala bora, ikiwa ni fursa ya kupongeza demokrasia nchini Senegal mtawala wa zamani wa ukoloni wa Ufaransa iliojipatia uhuru wake mwaka 1960 na ambayo haijawahi kutokea mapinduzi na ambako marais wamekuwa wakipishana madarakani kwa amani na utulivu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...