Skip to main content

Obama na familia yake kuzuru kisiwa cha Goree nchini Senegal

Na Ali Bilali
Rais Barack Obama wa Marekani anataraji kuipongeza demokrasia iliokita mizizi nchini Senegal katika duru ya kwanza ya safari yake barani Afrika ambapo anataraji kutembelea jumba lililotumiwa wakati wa biashara ya watumwa iliopo kwenye kisiwa cha Goree, ikiwa ni ziara yenye mfano wa rais wa kwanza mweusi wa Marekani katika kisiswa hicho.
Rais wa Marekani Barack Obama na Macky Sall wa Senegal
derniereminute.sn
Ziara hii ya Obama, barani Afrika itatamatika Julai 3, baada ya kutembelea nchini Afrika Kusini na Tanzania, hata hivyo, ratiba ya ziara hii inaweza kupanguliwa iwapo kutatokea taarifa ya kifo cha rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela ambaye hali yake imearifiwa kuwa mbaya zaidi katika saa 48 zilizopita.
Rais Obama amewasili jana Jumatano jijini Dakar akiambatana na mkewe Michelle pamoja na wanaye Sasha na Malia atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake Macky Sall alhamisi hii na baadae kuendesha mkutano wa pamoja na vyombo vya habari.
Wananchi wa Senegal wamejitokeza kwa wingi kumpokea rais Obama na familia yake ambapo kwenye barabara inayokwenda Ikulu ya rais nyimbo vificho na nderemo ndivyo vina sikika.
Baada ya mkutano na vyombo vya habari raid Obama atakwenda kukutana na jaji wa mahakama kuu nchini humo ambako atahutubia kuhusu utawala bora, ikiwa ni fursa ya kupongeza demokrasia nchini Senegal mtawala wa zamani wa ukoloni wa Ufaransa iliojipatia uhuru wake mwaka 1960 na ambayo haijawahi kutokea mapinduzi na ambako marais wamekuwa wakipishana madarakani kwa amani na utulivu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.