ASIYEHUSIKA
NA SHOO LEO AMEPEWA UKARIBISHO RASMI Ndugu CHIDDY BENZ NDANI YA SHEREHE HII YA
KIKOSI CHA MIZINGA KUTIMIZA MIAKA KUMI NA TATU 13,WAMEALIKWA PIA WATU WA
ITIDAKI TOFAUTI ZA VYAMA NA KIMUZIKI PIA..TWENDENI TUKAMSAPOTI PINNA NA
KKS(KIKOSI CHA MIZINGA)14.26..over!!!moja ya tracks zitazo sikika tunasonga,mstari
wa mbele,maisha yangu nyimbo tosha,wabishi wa dsm,wasaliti,mashambulizi,umoja
ni nguvu,lawama,fasihi na nyingine nyingi Pia watakuwepo NASH
MC,STEREO,MANSU-LII,LUNDUNO,NIKKI MBISHI,Live With Purpose(LWP) na
wengine..usiulize wapi ni NEW MSASANI CLUB,kiingilio ni TSh5000,buku gwede buku
tano tu..KUANZIA SAA MOJA USIKU
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...
Comments