Skip to main content

Kenya nao kutumia ndege zisizo na marubani kuzuia waingizaji wa silaha za magendo, al-Shabaab


Na Bosire Boniface, Garissa
Kenya inajiandaa kusambaza ndege zisizo na marubani aina ya 'drones' kama sehemu ya operesheni za usalama zilizoongezwa katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia kufuatilia na kukomesha harakati za al-Shabaab na waingizaji wa silaha za magendo, maofisa usalama waliiambia Sabahi.


Vikosi vya usalama vya Kenya vikifanya misheni ya ukaguzi huko Liboi katika mpaka wa Kenya na Somalia mwezi Oktoba 2011 baada ya wafanyakazi wawili wa msaada wa Kihispania kutekwa katika kambi ya wakimbizi ya Dadaab. [Tony Karumba/AFP]
Ndege aina ya 'drones', au vyombo vya angani visivyo na marubani, zinahitajika kusaidia vikosi vya usalama vya Kenya kufanya doria katika mipaka ya nchi, alisema Patrick Ochieng, mkurugenzi wa Eneo Lengwa La Kitaifa la Kenya kuhusu Silaha ndogondogo na Silaha Nyepesi.
"Tunakabiliwa na changamoto za ulinzi ambazo hazijawahi kutokea," aliiambia Sabahi. "Sio tu kuwa tuna vitisho kutoka ndani ya nchi, bali pia kutoka kwa waasi wa al-Shabaab."
Uingizaji silaha kwa magendo na upenyezaji unaofanywa na al-Shabaab katika mkoa wa kaskazini-mashariki wa Kenya umeleta hali ya kutokuwa na usalama pamoja na athari mbaya, alisema, akiongeza kwamba miaka miwili iliyopita imeshuhudia ongezeko la vurugu kutokana na bunduki haramu, kwa wahalifu na wauza silaha kwa magendo kuzua njia mpya za kuuza silaha kwa magendo.
Polisi wa Kenya wenye hadhi ya kijeshi jijini Nairobi wakilichoma rundo hili la silaha haramu zilizokamatwa mwezi Machi 2009. [Simon Maina/AFP]

Ndege zisizo na marubani zitawekewa teknolojia ya kiwango cha juu ikiwa ni pamoja na kamera zinazoweza kuona usiku ili kuisaidia Kenya kuwashinda wahalifu na kuondoa vitisho vya usalama, Ochieng alisema.
Maofisa usalama wanapata mafunzo kuhusu ndege zisizo na marubani, ambazo zitaanza kazi mwishoni mwa mwaka huu, alisema Ochieng. Alikataa kupeana maelezo zaidi kuhusu programu hiyo, alisema kwamba kwa kufanya hivyo kutasaidia wanaoingiza silaha nchini.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.