Skip to main content

Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela afikishwa hospitalini baada ya hali yake kubadilika


Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Mzee 
Nelson Mandela
Reuters
Na Flora Martin Mwano
Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela amelazwa hospitalini kwa mara nyingine tena akiendelea kusumbuliwa na maradhi ya mapafu.
Taarifa iliyotolewa katika tovuti ya Ofisi ya Rais nchini humo imebainisha kuwa kiongozi huyo amefikishwa hospitalini mjini Pretoria baada ya hali ya afya yake kudhoofika tena.
Msemaji wa Rais Jacob Zuma, Mac Maharaj amesema Mzee Mandela anashughulikiwa na Madaktari Bingwa ambao wanafanya kila jitihada kuhakikisha kiongozi huyo mzalendo anapata nafuu.
Mapema mwezi April mwaka huu Mandela alikaa hospitalini kwa takribani siku kumi akikabiliwa na maradhi yatokanayo na kuathirika kwa mapafu yake hali inayotajwa kuchangia kuzorotesha afya yake kwa muda mrefu sasa.
Mandela ambaye sasa ana umri wa miaka 94 amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwenye miaka ya hivi karibuni ambapo mara kadhaa amefikishwa hospitali kwa matibabu ya maradhi kama hayo ambayo madaktari wanasema yanatokana na umri wake kuwa mkubwa. Via kiswahili.rfi.fr

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...