Skip to main content

Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela afikishwa hospitalini baada ya hali yake kubadilika


Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Mzee 
Nelson Mandela
Reuters
Na Flora Martin Mwano
Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela amelazwa hospitalini kwa mara nyingine tena akiendelea kusumbuliwa na maradhi ya mapafu.
Taarifa iliyotolewa katika tovuti ya Ofisi ya Rais nchini humo imebainisha kuwa kiongozi huyo amefikishwa hospitalini mjini Pretoria baada ya hali ya afya yake kudhoofika tena.
Msemaji wa Rais Jacob Zuma, Mac Maharaj amesema Mzee Mandela anashughulikiwa na Madaktari Bingwa ambao wanafanya kila jitihada kuhakikisha kiongozi huyo mzalendo anapata nafuu.
Mapema mwezi April mwaka huu Mandela alikaa hospitalini kwa takribani siku kumi akikabiliwa na maradhi yatokanayo na kuathirika kwa mapafu yake hali inayotajwa kuchangia kuzorotesha afya yake kwa muda mrefu sasa.
Mandela ambaye sasa ana umri wa miaka 94 amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwenye miaka ya hivi karibuni ambapo mara kadhaa amefikishwa hospitali kwa matibabu ya maradhi kama hayo ambayo madaktari wanasema yanatokana na umri wake kuwa mkubwa. Via kiswahili.rfi.fr

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.