Skip to main content

Mara nyingine tena kwa mdau Kinyerezi Mwisho-Kifuru to Hali ya hewa.

Kesho tena wadau tunakutana hapa .

 
Hapa yanaonekana mambo yaliyowahi kufanyika kipindi cha nyuma kidogo . huko hali ya hewa.
 
Managing Director/Marketing Manager.
Francis A.Mrema

Office:
Fran`s Traders.
P.o Box 63094.
Dar Es Salaam,
TANZANIA.
Tel/Fax:+255 783 22 55 78
Kinyerezi Mwisho-Kifuru to Hali ya hewa.
Mambo haya yalipatikana hapo hali ya hewa siku sasa , ebwana kesho Jumapili tena wadau 
mnakaribishwa tena .
 Baadhi ya wateja wakiwa wamefika kupata moja moto moja baridi na bele wakiendelea kucheki mechi za Ulaya Live, pia ukwa eneo hilo licha ya kula bata unapata kutumia huduma ya mtandao bure .
 
Mdau aliyetualika akiwa katika engo ya kutoa bataaaa.
Mdau huyu utukutanisha wadau wake kila hifikapo katikati ya mwezi na mwishoni wa
mwezi , wikiend ya kesho  basi makamuziii yatafanyika hapa. 
Ni the Blue Point Kinyerezi.
Wakwanza anayetuangalia  ni mdau  Managing Director Francis A.Mrema ambaye ndiye mmiliki wa hesabu hizi za kiwanja cha bata tupu  na wengine wanawake waalikwa wakionekana kuwa bize na heka heka huko hali ya hewa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.