Skip to main content

Hospitali za Kenya zachelewa kutekeleza agizo la msamaha wa ada ya uzazi


Na Bosire Boniface, Garissa
Chini ya agizo la serikali mpya, huduma za uzazi kwa sasa ni bure katika hospitali za umma, vituo vya afya na kwenye kliniki nchini Kenya, lakini baadhi ya vituo vya kutoa huduma za afya bado havifuati agizo hili la msamaha wa ada zinazohusiana na uzazi.
Mwanamke akiwa na mtoto akitembea karibu na tangazo kuonyesha Hospitali ya Mathari huko Nairobi. [Simon Maina/AFP]
"Serikali yangu imefanya mipangilio ya bajeti inayotosha kuwezesha akina mama wote wajawazito kupata huduma za uzazi bure katika vituo vya afya vya umma, kuanzia tarehe 1 Juni, 2013," Rais Uhuru Kenyatta alisema katika kulihutubia taifa Siku ya Madaraka, kufuatia ahadi ya kampeni ya Muungano wa Jubilee aliahidi kutekeleza wakati wa siku 100 za mwanzo madarakani.
Fedha zilizowekwa katika bajeti ya mwaka 2013-2014 zinawapa Wakenya wote fursa nzuri ya kupata huduma za msingi za afya kwenye vituo na zahanati zinazoendeshwa na serikali, rais alisema.
Kenyatta pia alifuta ada ya shilingi 10 (senti 12 ) na shilingi 20 (senti 23), ambayo zahanati na vituo vya afya vimekuwa vikitoza wagonjwa.
Hata hivyo, baadhi ya vituo vya afya vimeendelea kutoza akina mama wanaokwenda kujifungua watoto wao.
"Wakati agizo la rais linatolewa, kwa kawaida tunapaswa kusubiri waraka kutoka wizarani ukitoa maelekezo," Mrakibu wa Hospitali ya Mbagathi huko Nairobi Daktari Andrew Sule aliiambia Sabahi. "Wakina mama wanaokuja kujifungua watapaswa kulipa hadi tutakapopokea mawasiliano rasmi."

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.