Skip to main content

Habari Zenu ndugu?






Zavara hapa. Nawatambulisha kazi mpya niliyofanikiwa kuipakua siku hizi za karibuni.. Hii kazi ni limbo uitwao In The Congo, limbo huh unahusisha kundi la Hip Hop tok a new York, Marekani liitwalo Rhyme Like A Girl wakimshirikisha mwanadada aitwae Nasambu msanii wa Afrosoul wa California Marekani ambaye ana asili ya kenya.  Wimbo huu ni juhudi za ushirikiano baina ya wasanii na mimi muandaji kujumuika na jamaa zetu wanaotaabika huko Kongo.  Kuna wimbo pamoja na video, pia viungo vyenye makala kadhaa zilokwisha andikwa kuhusu mradi huu.  

In The Congo video yake ilizinduliwa kwa mara ya kwanza kwenye tamasha la filamu huko Malaysia tarehe 30 ya mwezi wa tano mwaka huu.  ulifanyika uzinduzi rasmi Nairobi kenya wiki iliyopita, video hiyo imeteuliwa pia kuonyeshwa Zanzibar International film Festival, Salam Kivu tamasha la filamu huko Kongo mwezi wa saba. Husika kwenye huu mradi kwa kusaidia kusambaza huu wimbo kwenye mitandao ya jamii Face Book, Twitta na wote mnowasiliana nao, ujumbe wake ni WITO kwa jamii kulizingatia suala la Kongo na kufanya kila wawezalo kuondoa jamii ya huko kwenye MAANGAMIZI. Asanteni na karibuni

http://www.youtube.com/watch?v=TnoAv1zOQB0
soundcloud
Relevant articles on the track In the Congo.

                In The Congo - Rhyme Like A Girl Feat Nasambu



"In The Congo", is the first major musical collaborative effort of its kind to raise awareness on what some are calling the third World War.  Calling for a new wave of Green Technology and Fair Trade Electronics, this music video highlights the main cause of rape and genocide in the Eastern Congo region as a desperate scramble for the minerals that power every cell phone and laptop.  Produced and directed by Tanzanian Hip Hop guru, Zavara Mponjika, the video features US Hip Hop Ambassador Toni Blackman’s collective, Rhyme Like a Girl, alongside California based Kenyan Afro-Soul artist and founder of Activate Afrika, Nasambu. In times when the mainstream media rarely highlights issues of consequence, leaving many people in a state of ignorance, these artists have joined together across time, space, and geographical borders to express their views on this global war and human rights catastrophe that is urgently awaiting a timely response. 
--



Zavara Mponjika

Zavara is a filmmaker (Music Videos/TV Ads/Shorts) and respected Tanzanian Hip-hop pioneer (The founder of Pioneer Hip Hop crew KwanzaUnit, the group credited with shaping BongoFlava, the popular East African genre and it's founding movement Bongo Hip Hop).  Both a skilled music producer and event producer: Founder and pioneer of the WAPI monthly festival Series in Dar Es Salaam and Zanzibar. Facilitated and launched the WAPI Lagos and WAPI Kampala. he successfully produced Channel O’s Sprite Emcee Battle in Dar Es Salaam, Collaborated with the British Arts Council, UNICEF, Red Cross, Alliance Francaise, Goethe Institute and served as a consultant for Sauti za Busara, Toronto Film Festival, collaborated in Somali Sunrise Tour:  Guns Not Drums featuring K’NAAN and hip-hop artists like Shaggy, Dead Prez, and others.  He toured and shot the documentary for Diblo Dibala, legendary Congolese guitarist and founder of Soukous music. Filmed performance for Mbilia Bell in Toronto Canada, Zavara is currently working with Valerie Simpson of the legendary Ashford & Simpson and recently shot a live performance R&B superstar Freddie Jackson, videotaped and interviewed the superstar Michael Bolton's performance in New York's Sugar bar.  He is also directing, “360: The Cipher”, a documentary on Toni Blackman’s incredible work focusing on the collective energy of freestyle rap and spoken word.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...