Skip to main content

Obama kukutana na familia ya Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela


Kushoto ni Rais wa Marekani Barack Obama, kulia ni mwenyeji wake Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma
REUTERS/dailymail
Rais wa Marekani Barack Obama atakutana na familia ya mwasisi wa Taifa la Afrika Kusini Nelson Mandela, wakati huu ambapo shujaa huyo wa vita dhidi ya ubaguzi wa rangi akiwa katika mapambano dhidi ya maradhi ya mapafu yaliyosababisha kuzorotesha afya yake.
Taarifa toka nchini humo zimeeleza kuwa Obama ameamua kutomtembelea shujaa huyo hospitalini anakopatiwa matibabu mjini Pretoria ili kudumisha amani na utulivu katika eneo hilo.
Tribute: President Obama said his thoughts and those of Americans and people all around the world were with Nelson Mandela and his family
Rais wa Marekani Barack Obama, kulia ni mwenyeji wake Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma
REUTERS/dailymail
Obama amesema kuwa hakuwa na haja ya muda wa kupiga picha na Mandela kufuatia uvumi kwamba angeweza kumtembelea hospitalini kinara huyo wa vita dhidi ya ubaguzi wa rangi na mshindi mwenzie wa tuzo ya amani ya Nobeli ambaye amelazwa katika hospitalini kwa zaidi ya majuma matatu sasa.
Obama, ambaye alikutana Mandela mara moja jijini Washington mwaka 2005, amesema kuwa jambo la msingi kwake ni kumpa faraja Rais huyo wa zamani wa Afrika Kusini na ustawi wa familia yake.
Rais huyo wa marekani ameyazungumza hayo mjini Pretoria mara baada ya mazungumzo yake na Rais wa sasa wa Afrika kusini, Jacob Zuma.
Ziara ya Rais Obama nchini Afrika Kusini haijawa na mvuto kama ilivyotarajiwa kutokana wananchi wa Taifa hilo kuelekeza zaidi macho na masikio yao katika maendeleo ya afya ya kiongozi wao wa zamani.

Via kiswahili.rfi.fr

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...