Skip to main content

Mazungumzo ndiyo njia pekee kwa amani ya Kismayo


Na Majid Ahmed, Mogadishu
Wakaazi, wazee wa kimila na maofisa wa serikali nchini Somalia kote wanatoa wito kwa wanamgambo wenye uadui wa kurithi juu ya udhibiti wa Kismayo kuweka silaha chini na kuja katika meza ya mazunguzmo kutatua masuala yaliyobakia na kuhakikisha maisha ya amani yanarejea.
Wanachama wa Jeshi la Taifa la Somalia na wanamgambo wa Ras Kamboni walioshirika na serikali wakipeperusha bendera ya Somalia kutoka kwenye uliokuwa mnara wa kuongozea ndege katika uwanja wa ndege wa Kismayo katika kushereheka kukamatwa kwake tarehe 2 Oktoba, 2012. [AFP Photo/AU-UN IST Photo/Stuart Price]
Vurugu zilizokuwa zimesimama zilianza tena Ijumaa (tarehe 7 Juni) baada ya wanamgambo wa Ras Kamboni wanaomtii Shekhe Ahmed Mohamed Islam Madobe kuripotiwa kuweka wazi kuwa kiongozi wa wanamgambo hao Iftin Hassan Basto kutoka kwenye mkutano na Waziri wa Ulinzi wa Somalia Abdihakim Haji Mohamud Fiqi. Madobe, Basto na Barre Adam Shire Hirale wote kwa sasa wamelaumiwa kwa kuwa watiifu kwa raisi aliyeteuliwa wa serikali changa ya shirikisho ya Jubbaland.
Mapigano makali yaliibuka, yaliua watu wapatao 18, yakijeruhi wengine zaidi ya 20 na kulazimisha mamia ya wakaazi kukimbia na kutafuta hifadhi katika vijiji vya jirani, kwa mujibu wa Nur Abdirahman, mkaazi mwenye umri wa miaka 38.
Familia ya watu watano mtaani wake walikuwa miongoni mwa waathirika, Abdirahman alisema, wakati magamba ya mota yalipodondoka katika nyumba yao ya wastani .
"Tunachotaka tu ni hali kuimarika," aliiambia Sabahi. "Tunamwomba Mungu kwamba mapigano haya yamalizike kabisa na kamwe tusikie tena milio ya mota au risasi huko Kismayo."

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...