Skip to main content

Mazungumzo ndiyo njia pekee kwa amani ya Kismayo


Na Majid Ahmed, Mogadishu
Wakaazi, wazee wa kimila na maofisa wa serikali nchini Somalia kote wanatoa wito kwa wanamgambo wenye uadui wa kurithi juu ya udhibiti wa Kismayo kuweka silaha chini na kuja katika meza ya mazunguzmo kutatua masuala yaliyobakia na kuhakikisha maisha ya amani yanarejea.
Wanachama wa Jeshi la Taifa la Somalia na wanamgambo wa Ras Kamboni walioshirika na serikali wakipeperusha bendera ya Somalia kutoka kwenye uliokuwa mnara wa kuongozea ndege katika uwanja wa ndege wa Kismayo katika kushereheka kukamatwa kwake tarehe 2 Oktoba, 2012. [AFP Photo/AU-UN IST Photo/Stuart Price]
Vurugu zilizokuwa zimesimama zilianza tena Ijumaa (tarehe 7 Juni) baada ya wanamgambo wa Ras Kamboni wanaomtii Shekhe Ahmed Mohamed Islam Madobe kuripotiwa kuweka wazi kuwa kiongozi wa wanamgambo hao Iftin Hassan Basto kutoka kwenye mkutano na Waziri wa Ulinzi wa Somalia Abdihakim Haji Mohamud Fiqi. Madobe, Basto na Barre Adam Shire Hirale wote kwa sasa wamelaumiwa kwa kuwa watiifu kwa raisi aliyeteuliwa wa serikali changa ya shirikisho ya Jubbaland.
Mapigano makali yaliibuka, yaliua watu wapatao 18, yakijeruhi wengine zaidi ya 20 na kulazimisha mamia ya wakaazi kukimbia na kutafuta hifadhi katika vijiji vya jirani, kwa mujibu wa Nur Abdirahman, mkaazi mwenye umri wa miaka 38.
Familia ya watu watano mtaani wake walikuwa miongoni mwa waathirika, Abdirahman alisema, wakati magamba ya mota yalipodondoka katika nyumba yao ya wastani .
"Tunachotaka tu ni hali kuimarika," aliiambia Sabahi. "Tunamwomba Mungu kwamba mapigano haya yamalizike kabisa na kamwe tusikie tena milio ya mota au risasi huko Kismayo."

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.