Skip to main content

Ni nani anafadhili ugaidi nchini?




Mbowe asema walilenga kumuua na Lema
Nassari ashambuliwa, ajeruhiwa, alazwa
Polisi waendelea kuunda timu za makachero
Matukio ya ugaidi yanazidi kutikisa nchi, huku hofu kubwa ikitanda miongoni mwa jamii kwa kuwa juhudi za kuwasaka wahusika hazionyeshi kuzaa matunda na wala umma hauelezwi taarifa zozote juu ya uchunguzi wake.
Ugaidi uliofanywa dhidi ya mkutano wa kufunga kampeni za udiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jijini Arusha juzi ni limetokea takribani siku 40 tu baada tukio jingine lilinalofanana nalo kwa kila kitu, kutokea kwenye hafla ya uzinduzi wa Parokia ya Olasiti ya kanisa Katoliki Mei 5, mwaka huu jijini Arusha pia.
Katika shambulizi la kanisani, bomu lilirushwa kwenye mkusanyiko mkubwa wa waumini nia ikiwa ni kuangamiza watu wengi, hata hivyo walikufa watu watatu na kujeruhi wengine zaidi ya 60.
Ingawa hadi sasa polisi hawajatoa taarifa kwa umma juu ya aina ya bomu lililolotumika Olasit, mlipuko wa juzi kwenye mkutano wa Chadema, unafanana kwa kila kitu na ule wa Mei 5, mwaka huu.
Wakati Olsasit walengwa wakuu alikuwa Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa nchini Tanzania, Askofu Mkuu Francisco Montecillo Padilla na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, Josephat Lebulu, juzi walengwa walitaka kuwaua pamoja na watu wengine Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.
Mfululizo wa matukio haya ya ugaidi mbali ya kuasababisha kuahirishwa kwa uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata nne jijini Arusha, pia umekifanya Chadema kusitisha mahudhurio ya wabunge wake wote katika vikao vya Bunge kuanzia leo na kwamba wanatakiwa kwenda Arusha kwa ajili ya shughuli za maziko ya watu wawili waliouawa katika mlipuko wa bomu uliotokea juzi jijini Arusha.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...