Skip to main content

SIMBACHAWENE AKUTANA NA WAFANYABIASHARA NA KUAHIDI USHIRIKIANO




SIM1
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. George Simbachawene akiongea na viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania waliomtembelea ofisini kwake jana jijini Dar es Salaam.
SIM2
Baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. George Simbachawene jana jijini Dar es Salaam.
SIM3
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. George Simbachawene (kulia) akiteta jambo na viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania jana jijini Dar es Salaam.
SIM4
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. George Simbachawene (kulia) akimsikiliza Mwenyekiti wa Jumuia ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Bw. Johnsen Estomih Minja mara baada ya kikao chao ljana jijini Dar es Salaam.
SIM5
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania jana jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. George Simbachawene amekutana na viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania na kupata nafasi ya kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili na kuahidi kushirikiana nao katika kutatua kero hizo.
Akizungumza na wafanyabiashara hao waliomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Ofisi ya Rais-Tamisemi wamejadiliana masuala mbalimbali ya kibiashara ili yaweze kunufaisha jamii na taifa.
“Nimesikia mapendekezo yenu nitayafanyia kazi, nitawaita ili tujadiliane katika kujenga mazingira bora na rafiki ya biashara yatakuwa na manufaa kwenu taifa kwa ujumla” alisema Mhe. Simbachawene.
 Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kwa dhati kushirikiana na wafanyabiashara nchini na kulihakikishia taifa kuwa uchumi imara  kulingana na Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025. 
Katika kikao hicho wafanyabiashara walipata nafasi ya kumueleza Mhe. Waziri kero mbalimbali zinazowakabili zikiwepo utitiri wa kodi, ugumu katika upatikanaji wa leseni na kukosekana kwa uwiano wa tozo za leseni kati ya sehemu moja na nyingine ambapo Mhe. Waziri aliahidi kufanyia kazi kero na mapendekezo mbalimbali ya kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara waliyowasilisha kwake.
Akizungumza katika kikao hicho Mwenyekiti wa Jumuia ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Bw. Johnsen Estomih Minja alisema wafanyabiashara wanapenda kuona Tanzania ikikua kiuchumi na wao kama wafanyabiashara wangependa kuwa wadau wa kuisaidia nchi kukua kiuchumi, hivyo wanaomba serikali iweze kuwashirikisha katika masuala mbalimbali yanayohusiana na masuala ya kibiashara ili waweze kutoa mchango wao wa mawazo na kuondoa ugomvi kati ya wafanyabiashara na Serikali yao.
Miongoni mwa masuala ambayo  Jumuia ya Wafanyabishara Tanzania imependekeza yaangaliwe kwa undani kuwa ni pamoja na serikali kuangalia upanuzi wa wigo wa ulipaji wa kodi,kuunganishwa kwa kodi na tozo mbalimbali katika ulipaji  na kurahisishwa kwa utaratibu wa ulipaji wa leseni.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...