Skip to main content

SIMBACHAWENE AKUTANA NA WAFANYABIASHARA NA KUAHIDI USHIRIKIANO




SIM1
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. George Simbachawene akiongea na viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania waliomtembelea ofisini kwake jana jijini Dar es Salaam.
SIM2
Baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. George Simbachawene jana jijini Dar es Salaam.
SIM3
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. George Simbachawene (kulia) akiteta jambo na viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania jana jijini Dar es Salaam.
SIM4
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. George Simbachawene (kulia) akimsikiliza Mwenyekiti wa Jumuia ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Bw. Johnsen Estomih Minja mara baada ya kikao chao ljana jijini Dar es Salaam.
SIM5
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania jana jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. George Simbachawene amekutana na viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania na kupata nafasi ya kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili na kuahidi kushirikiana nao katika kutatua kero hizo.
Akizungumza na wafanyabiashara hao waliomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Ofisi ya Rais-Tamisemi wamejadiliana masuala mbalimbali ya kibiashara ili yaweze kunufaisha jamii na taifa.
“Nimesikia mapendekezo yenu nitayafanyia kazi, nitawaita ili tujadiliane katika kujenga mazingira bora na rafiki ya biashara yatakuwa na manufaa kwenu taifa kwa ujumla” alisema Mhe. Simbachawene.
 Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kwa dhati kushirikiana na wafanyabiashara nchini na kulihakikishia taifa kuwa uchumi imara  kulingana na Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025. 
Katika kikao hicho wafanyabiashara walipata nafasi ya kumueleza Mhe. Waziri kero mbalimbali zinazowakabili zikiwepo utitiri wa kodi, ugumu katika upatikanaji wa leseni na kukosekana kwa uwiano wa tozo za leseni kati ya sehemu moja na nyingine ambapo Mhe. Waziri aliahidi kufanyia kazi kero na mapendekezo mbalimbali ya kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara waliyowasilisha kwake.
Akizungumza katika kikao hicho Mwenyekiti wa Jumuia ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Bw. Johnsen Estomih Minja alisema wafanyabiashara wanapenda kuona Tanzania ikikua kiuchumi na wao kama wafanyabiashara wangependa kuwa wadau wa kuisaidia nchi kukua kiuchumi, hivyo wanaomba serikali iweze kuwashirikisha katika masuala mbalimbali yanayohusiana na masuala ya kibiashara ili waweze kutoa mchango wao wa mawazo na kuondoa ugomvi kati ya wafanyabiashara na Serikali yao.
Miongoni mwa masuala ambayo  Jumuia ya Wafanyabishara Tanzania imependekeza yaangaliwe kwa undani kuwa ni pamoja na serikali kuangalia upanuzi wa wigo wa ulipaji wa kodi,kuunganishwa kwa kodi na tozo mbalimbali katika ulipaji  na kurahisishwa kwa utaratibu wa ulipaji wa leseni.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.